Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

Takbirrrr
 


We unaonaje hapo?
 
hoja za waislamu
 

[emoji28][emoji28][emoji28],mnachezewa akili mjae kwenye mfumo. Uislamu hauna maisha marefu dunia imeanza kuwakataa.
 
[emoji28][emoji28][emoji28],mnachezewa akili mjae kwenye mfumo. Uislamu hauna maisha marefu dunia imeanza kuwakataa.
Sawa kumbuka juzi tu scotland imemchagua first minister muislamu tena mke wake mpalestina na huku uingereza imeweka record kwa kuchagua wabunge 19 waislamu bado unasema dunia imetukataa? Uislam umekubalika hadi na wazungu wewe chuki ndio zinazokusumbua
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-222204_Chrome.jpg
    16.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231105-222053_Chrome.jpg
    102.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231105-221947_Chrome.jpg
    123.5 KB · Views: 2
[emoji28][emoji28][emoji28],mnachezewa akili mjae kwenye mfumo. Uislamu hauna maisha marefu dunia imeanza kuwakataa.
ulaya imetukubali hadi kutupa nafasi za juu za uongozi wewe ni nani utukatae, hadi chama cha kikristo cha germany kimempa uongozi muislamu wewe ni nani utukatae?
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-222710_Chrome.jpg
    98.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20231105-222720_Chrome.jpg
    107.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231105-222749_Chrome.jpg
    101.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231105-222808_Chrome.jpg
    109.1 KB · Views: 2
Ni rahisi kuwasomba watu kidini kwa sababu kwenye msondeko akili wa kidini kuna upumbavu wa kifaida na hasara kubwa sana.
Ila Mungu hahusiki na huo ubaguzi wa Kipumbaavu ndiyo maana habagui pumzi wala kifo.

Ila mungu wa waislam anabagua ndio maana ameagiza wafuasi wake kuchinja asiemini allah.
Alshabab, alqaeda, hamas, isis, taleban, bokoharam, islamic jihad nk kila wanapofanya mauaji lazima watamke allah akbar yaani Mungu mkubwa.
 
 

Attachments

  • 1C499630-A49B-4ADB-8CD3-FA6655C6FFEE.MP4
    5.8 MB
Ila mungu wa waislam anabagua ndio maana ameagiza wafuasi wake kuchinja asiemini allah.
Alshabab, alqaeda, hamas, isis, taleban, bokoharam, islamic jihad nk kila wanapofanya mauaji lazima watamke allah akbar yaani Mungu mkubwa.
Na wewe naamini ni mtu mzima na msomi kuingia kwenye huu mtazamo , hawa isis na vikundi vingine unajua nani kavianzisha na kwa sababu zipi? Libya alipotaka kuuliwa gadafi kile kikundi kilipewa hela na silaha na marekani na gadafi aliuliwa on the spot,

Congo hadi leo zaidi ya karne kuna vikundi vingi na vyote vina silaha kali nani anaeapa hela na silaha siku zote hizo?
Ili western waweze kutawala na kuwa na influence sehemu yoyote lazima iwe na mgambo wa kufanya vurugu kwa sababu huwezi kutawala sehemu yenye amani.
Unajua wale unaowaona isis 90% sio waislamu? Na kama unajua dini hawakutaki?
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-224652_Chrome.jpg
    129.1 KB · Views: 1
Hamas ni mashujaa watawatwanga "mayahudi" wakisaidiwa na akina Hizbollah,IS na mashujaa wengine.Tufumbe macho tuwaombee dua njema.
Ushujaa wa kusababisha umauti kwa wasio husika? Una chembechembe za ugaidi.
 
Ila mungu wa waislam anabagua ndio maana ameagiza wafuasi wake kuchinja asiemini allah.
Alshabab, alqaeda, hamas, isis, taleban, bokoharam, islamic jihad nk kila wanapofanya mauaji lazima watamke allah akbar yaani Mungu mkubwa.
Basi vita isiishe. Waendelee kushughulikiwa maana wakiachwa watafanya tena ugaidi na next time wataua zaidi kuliko Oct 7
Hamas wanapambana huku wamejificha kwenye mawowowo ya akina mama.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…