Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Inasikitisha sana maana wengi wao ni watoto wadogo sana.Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================
Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire
MSN
www.msn.com
Hii Vita lazima ikome sasa.