Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

leo wewe unafurahia watu kuuliwa kisiasa? Ubinaadamu wako upo wapi ndugu
Sifurahii chochote nishasema sana ,
Watoto wamama wazee kuuliwa niko against sana kuhusu hilo na siungi mkono.
Problem ni kwanini hao Hamas walianza kuchokoza kule huku wakijua aftermath yake?.
Sasa wayahudi wamepata sababu ndo matokeo haya tunashuhudia.
Na hata wao pia wanakufa ila vita ni vita.
 
Sudan wamekufa wangapi?? Au Congo?? Hao HAMAS ni freedom fighter watakufa mwisho watapata uhuru wao.

Huo uhuru mnautafuta kijinga sana, ilipaswa hayo magaidi ya dini yenu yapambane kijeshi sio kuua na kuteka wananchi wasio na hatia, kumbuka humo wametekwa hadi Watanganyika ambao hawahusiani na huo ugomvi na mlivyo majitu ya kijinga mnashabikia tu kisa dini.
 
Sifurahii chochote nishasema sana ,
Watoto wamama wazee kuuliwa niko against sana kuhusu hilo na siungi mkono.
Problem ni kwanini hao Hamas walianza kuchokoza kule huku wakijua aftermath yake?.
Sasa wayahudi wamepata sababu ndo matokeo haya tunashuhudia.
Na hata wao pia wanakufa ila vita ni vita.
Kuwa kwenye kifungo kwa miaka zaidi ya 70 si jambo dogo , wamekuwa wakiteswa miaka yote hiyo kwa kufanya shambulio hili au bila ya kufanya hatma yao ipo pale pale ni kuuliwa kila siku na kunyanyaswa hata ungekuwa wewe ungekaa usubiri siku yako ya kuuliwa au upambane maana hakuna kizuri kinachokuja zaidi ya kuuliwa na kuwa mtumwa
 
Sudan wamekufa wangapi?? Au Congo?? Hao HAMAS ni freedom fighter watakufa mwisho watapata uhuru wao.
Mnajifariji sana waislam. Allah mwenyewe mungu wa kiarabu kala kona na kujificha. Allah bure kabisa
 
Hamas ni mashujaa watawatwanga "mayahudi" wakisaidiwa na akina Hizbollah,IS na mashujaa wengine.Tufumbe macho tuwaombee dua njema.
IS hawawezi saidia hamas,lile ni kundi la kigaidi lililoanzishwa na USA,NATO NA ISRAEL,na wametangaza kwamba kama iran itashambulia israel,wao wataanza mashambulizi dhidi ya syria,hata kiongozi wa kundi hilo ni muisrael.
 
Kuwa kwenye kifungo kwa miaka zaidi ya 70 si jambo dogo , wamekuwa wakiteswa miaka yote hiyo kwa kufanya shambulio hili au bila ya kufanya hatma yao ipo pale pale ni kuuliwa kila siku na kunyanyaswa hata ungekuwa wewe ungekaa usubiri siku yako ya kuuliwa au upambane maana hakuna kizuri kinachokuja zaidi ya kuuliwa na kuwa mtumwa
Allah ni bureeee hovyo kabisa
 
Na wewe naamini ni mtu mzima na msomi kuingia kwenye huu mtazamo , hawa isis na vikundi vingine unajua nani kavianzisha na kwa sababu zipi? Libya alipotaka kuuliwa gadafi kile kikundi kilipewa hela na silaha na marekani na gadafi aliuliwa on the spot,

Congo hadi leo zaidi ya karne kuna vikundi vingi na vyote vina silaha kali nani anaeapa hela na silaha siku zote hizo?
Ili western waweze kutawala na kuwa na influence sehemu yoyote lazima iwe na mgambo wa kufanya vurugu kwa sababu huwezi kutawala sehemu yenye amani.
Unajua wale unaowaona isis 90% sio waislamu? Na kama unajua dini hawakutaki?
Mbona hao west wasitumie vikundi vya dini nyingine Zaidi ya uislam?!
Halafu mbona waislam wanaviunga mkono mfano alshabaab walikua wanaungwa mkono na masheikh wenye msimamo mkali hapo mombasa !
Na juzi tu hapa sheikh ponda amesifu hamas kwa kufanya shambulizi la kigaidi huko Israeli. Yani kiongozi wa dini anaunga mkono wanawake kubakwa, kutekwa na watoto kuchomwa moto?!
Imenishangaza sana
 
IS hawawezi saidia hamas,lile ni kundi la kigaidi lililoanzishwa na USA,NATO NA ISRAEL,na wametangaza kwamba kama iran itashambulia israel,wao wataanza mashambulizi dhidi ya syria,hata kiongozi wa kundi hilo ni muisrael.
Hivi huo uongo huwa mnauchuja kabla ya kuwapa watu?Yani utudanganye tu kwamba USA,Israel na wazungu wengine ndiyo wameunda hayo makundi ya kishenzi?😂😂😂😂
 
Kuwa kwenye kifungo kwa miaka zaidi ya 70 si jambo dogo , wamekuwa wakiteswa miaka yote hiyo kwa kufanya shambulio hili au bila ya kufanya hatma yao ipo pale pale ni kuuliwa kila siku na kunyanyaswa hata ungekuwa wewe ungekaa usubiri siku yako ya kuuliwa au upambane maana hakuna kizuri kinachokuja zaidi ya kuuliwa na kuwa mtumwa
Hamna anaewekwa mtumwa Israel, wapalestina wanaingia na kutoka kila siku wanavyotaka.
Scenario moja tu, kuna siku mmama mmoja toka huko gaza border nakumbuka ilikua mlimani hivi yule bibie katoka kwenda kuwaface border police wakabishana kidogo nafkiri ilikua ni maswali tu ya border,akawa anarudi kwenye gari nafkiri kulikua na mumewe na wanae mle ndani kaanza makelele alah akbar,
Kumbe pale kuna snipper yuko juu anachora zile movement akaona hapa sio pa kuzubaa
Wakadunguliwa pale chini wote.
Walikua wa5,
swala lilikuwa dogo tu vibali muingie yule bibi sijui alikua na hasira gani na kurudi kwake ndani ya gari kaiponza familia nzima.
Na jamaa walijibu kirahisi tu kwamba tutajua vp kama alifwata Gun au bomb atuue,
Tumejihami tu.
 
Hivi huo uongo huwa mnauchuja kabla ya kuwapa watu?Yani utudanganye tu kwamba USA,Israel na wazungu wengine ndiyo wameunda hayo makundi ya kishenzi?😂😂😂😂
Du uko mbali sana,kwa AL QAEDA ya osama alianzisha nani?na kundi la HAMAS alianzisha nani?Israel ilipokuwa inapata upinzani mkali toka kwa PLO,ndio ikaweka mapandikizi kuanzisha HAMAS ili kuwagawa palestina na kupunguza upinzani,sawasawa na nccr-mageuzi na nccr-asili,cuf lipumba na cuf maalim,Chadema na Act
 
Du uko mbali sana,kwa AL QAEDA ya osama alianzisha nani?na kundi la HAMAS alianzisha nani?Israel ilipokuwa inapata upinzani mkali toka kwa PLO,ndio ikaweka mapandikizi kuanzisha HAMAS ili kuwagawa palestina na kupunguza upinzani,sawasawa na nccr-mageuzi na nccr-asili,cuf lipumba na cuf maalim,Chadema na Act
Kama wanakubali kutumika wanafaa kuitwa wapumbsvu sana.
 
Huna unachokijua kuna huyu kiongozi mzungu wa uholanzi sio mbumbumbu kama wewe , huyu alikuwa hadi anataka sheria kali zitungwe kuudhibiti uislamu bungeni uholanzi, akawa anaandika kitabu cha kukashifu uislamu, mwisho wa siku akaja kubadili dini na sasa hivi ni swala tano
Swala tano hazipo kwenye Qoran mmejitungia tu... Qoran inachekesha imeandika Mara tatu tena yashangaza inasema Establish Player ''O'' Prophets at both ends of the day and in the early part of the night.
Qoran 11:114

Hapo it means Mchana mtaswali mara mbili hizo ncha mbili na jioni mara moja ule ujinga na upumbavu wa kupigia watu kelele asubuhi ni uongo na ushetani tu... dua na tasbii ndio mwaweza fanya muda wowote na sio kupiga adhana alfajiri na mapema kelele na pumbavu.
 
Haya bwana ismail ila jitahidi moyo wako uwe na upendo kwa binaadamu wenzako na uheshimu uwepo wa mungu na uamini mungu ameumba ulimwengu na vyote vilivyomo ndani huwezi ukawa unasema unampenda mungu huku unaombea babunafurahia haki za binaadamu wenzako kukandamizwa kisa tu sio dini yako
Fikiria mtu kama angelina jolie ambaye amezungukwa na taasisi ambayo jews wanaimiliki lakini ameweza kupaza sauti kwa ajili ya ubinaadamu bila ya kujali maslahi atakayopoteza, leo wewe unafurahia watu kuuliwa kisiasa? Ubinaadamu wako upo wapi ndugu
speaking of love
hamas wanawapenda Israel?
 
Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

1. Kuua Raia hakuleti ushindi
2. Hakuna mtu wa kuishi milele
3. Kuna mengi unadanganywa kwa kuwa uwezo wako wa kufanya analysis ni mdogo sana
4. Kuwa na open mind, (kama unayo mind) utaona ukweli

5.
 
Ni vita vilivyoanzishwa na magaidi wa kiislamu dhidi ya Wayahudi, sasa majibu ya Wayahudi hayachagui iwe mtoto au kitu gani wanapiga, maana hao magaidi wa kiislamu wamejificha ndani ya wananchi wa kawaida.
Kawaida tumezoea magaidi wa kiislamu kuchinja Wakristo, ila hapa kama walikosea njia, Wayahudi ni watu hatari sana lazima walipize kisasi....
Kwanini walianzisha vita?
 
Back
Top Bottom