Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

Inasikitisha sana maana wengi wao ni watoto wadogo sana.

Hii Vita lazima ikome sasa.
 
Lakin maandishi yako Yana reflect moyo wako dhidi ya jews
Siwezi kuwachukia ila matendo wanayofanya kwa binaadamu wenzao kama mtu mwenye akili timamu huwezi kuyapenda ndio maana unaona hadi orthodox jews wamejitenga na matendo ya netanyahu na wazungu wengi hadi jana 11 councillors wamejiuzulu kwenye chama cha labour kupinga msimamo wa uk kuhusu swala hili la israel na palestine, wanaua watu makusudi huku wakicheka unaona hiyo ni sawa?
 
no hawapo sawa killing innocent people is not acceptable
but what about Hamas walivyo invade Israel na kufanya mauaji na utekaji walikua sawa?
 

Hao ni waislamu jina,waislam halisi ni magaidi wengine waliobaki ni waislam jina tu hata wewe ni muislam wa mchongo.
 
 
Lakini hawa wengi ni raia wa kawaida hasa wanawake na watoto
 

Mkuu ni ngumu sana kuutenganisha uislamu na ugaidi,matendo yako wazi na yanajionyesha bila shaka.
 
 
Its just matter of time musa na watu wake waliuliwa na firauni , na aliua hadi kila mtoto aliyezaliwa lakini mwisho wa siku allah alionyesha njia, its just a matter of time , mungu kwenye quran anasema anawapenda wenye kusubiri

Musa alikua myahudi hajawahi kua muislam leo iweje muwachukie wayahudi na kutaka kuwaangamiza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…