Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 712
- 1,642
Mashujaa ambao hawana hata uniform maalum hawana hata viatu wamevaa sandles kama wanaenda kuoga, hao ndio mashujaa ebo ?!! Gari zao pick up Toyota kama anayotumia mama Shirima kuendea shambani, hata gari armored za kivita hawana hao ndio mashujb ?!Hamas ni mashujaa watawatwanga "mayahudi" wakisaidiwa na akina Hizbollah,IS na mashujaa wengine.Tufumbe macho tuwaombee dua njema.
Mashujaa wanaishi kwenye mashimo kama panya na kenge, HAKUNA shujaa hapo gaza wala kwa miarabu yoyote only a bunch of stupid, silly, coward, ididntic terrorists. Ndio maana hakuna turudie tena HAKUNA NA HAKUTAKUA NA SUPERPOWER KUTOKA NCHI YA MAJINGA MAJINGA MAVAA MADERA NA VIBARAGASHEA.