Mpaka sasa wanajeshi wa Urusi wameuawa 127,000 hiyo ni mara nne ya JWTZ

Kuna wanajeshi wangapi kaka hapa tanzania? Tujuze kaka[emoji120]
 
Kwa hiyo lile li msafara la wanajeshi 150, 000. Wamrbaki 23,000 tu?
 
We bogus kweli,2009 pakidaiwa Kuna jwtz 50k,na wadau wakisema ni zaidi ya hapo,hiyo figure ya 50k binafsi naisikia tangu 2004
Unamtukana bure kila kitu kimewekwa wazi mtandaoni.
Ungefanya utafiti kabla ya kujibu
 
Unamtukana bure kila kitu kimewekwa wazi mtandaoni.
Ungefanya utafiti kabla ya kujibu
mambo ya jeshi hayawekwi mitandaoni Babu,idadi ya Askari ulio nao ni Siri ya jeshi,hayo ya mitandaoni ni makadirio tu
 
"World's toughest fighter jet"

Mabwana zenu wamegoma kupeleka F-16 achilia mbali F-35 ambazo wanaziamini sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20230131_171514_Google.jpg
    35.5 KB · Views: 2
Nchi ya mkumbo na hearsay
Jwtz walitangaza wapi idadi ya Askari wao!?..idadi ya askari ni Siri,unaambiwa china Ina Askari jeshi laki mbili,unadhani kweli!?
 
mambo ya jeshi hayawekwi mitandaoni Babu,idadi ya Askari ulio nao ni Siri ya jeshi,hayo ya mitandaoni ni makadirio tu
Dunia nzima kasoro North Korea taarifa muhimu kama idadi ya active personnel na zana za kijeshi taarifa zao zipo mtandaoni na sio dhambi.
Nasema baadhi kqasababu haziwezi kuwekwa zote.
Hivyo uache ubishi usiokuwa na sababu
 
Dunia nzima kasoro North Korea taarifa muhimu kama idadi ya active personel na zana za kijeshi taarifa zao zipo mtandaoni na sio dhambi.
Nasema baadhi kqasababu haziwezi kuwekwa zote.
Hivyo uache ubishi usiokuwa na sababu
Huko mitandaoni si ndiko mnakoambiwa jwtz tuna ndege Vita 8 tu...na unaamini!?
 
Largest armies in the world by active military personnel 2022 - Statista
Wao wamepata wapi ikiwa majeshi hayana utaratibu wa kutangaza idadi ya askari wao!?..hapo kigumu kuelewa nini!?... marekani nchi ya uwazi imetoa takwimu rasmi za vikosi vyake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…