Mpaka sasa wanajeshi wa Urusi wameuawa 127,000 hiyo ni mara nne ya JWTZ

Mpaka sasa wanajeshi wa Urusi wameuawa 127,000 hiyo ni mara nne ya JWTZ

Wao wamepata wapi ikiwa majeshi hayana utaratibu wa kutangaza idadi ya askari wao!?..hapo kigumu kuelewa nini!?... marekani nchi ya uwazi imetoa takwimu rasmi za vikosi vyake?
Wewe ni mbishi wa asili na ni aibu kwa karne kuwa mbishi usiye na hoja
 
Wewe ni mbishi wa asili na ni aibu kwa karne kuwa mbishi usiye na hoja
kama huoni hoja hapo una matatizo,ukitaka kupata idadi ya madaktari walioajiriwa na serikali tz unaenda wizara ya afya,ukitaka kujua idadi ya wanajeshi tz unaenda wizara ya ulinzi,Sasa wapi wizara ya ulinzi walipoweka idadi ya wanajeshi!?
 
Kwa minajili ya Wikipedia, active personell wa JWTZ ni 28,000 sasa ukizingatia wanajeshi wa Urusi wameuawa 127,000 hiyo ni mara nne ya JWTZ, au kama vipi hapo ina maana wamefyekwa idadi ya ukijumlisha KDF, JWTZ, UDF, RDF n.k.

Jameni licha la hasara yote hiyo, Urusi wameambulia kugombania kamji ka chumvi huko mpakani, subirini vifaru vije ndio mziki utakua mtamu.
============

The Ukrainian Armed Forces claimed Tuesday to have "liquidated" 850 Russian servicemen during the last day of fighting and raised to more than 127,000 the total number of Russian soldiers killed since the beginning of the invasion, a figure that contrasts with the one provided by Moscow, which has not updated its casualty toll for weeks.

The General Staff of the Ukrainian Army has pointed out in a message published on its official account on the social network Facebook that since the outbreak of the war on February 24, 2022, 127,500 Russian servicemen have been "liquidated", while 3,201 battle tanks, 2,197 artillery systems and 221 Russian anti-aircraft defense systems have been destroyed.
Acha kuishi kwa propaganda za mabeberu 🤔
 
Inabidi wafanye mobilisation mpya.
Siku Russia akifanya Mobilization mpya basi nitaamini hiyo idadi ya wanajeshi wa Russia kwamba kweli wamekufa. Haiwezekani ufanye Mobilization ya raia wakati wanajeshi waliokufa ni wachache.
 
Kwa minajili ya Wikipedia, active personell wa JWTZ ni 28,000 sasa ukizingatia wanajeshi wa Urusi wameuawa 127,000 hiyo ni mara nne ya JWTZ, au kama vipi hapo ina maana wamefyekwa idadi ya ukijumlisha KDF, JWTZ, UDF, RDF n.k.

Jameni licha la hasara yote hiyo, Urusi wameambulia kugombania kamji ka chumvi huko mpakani, subirini vifaru vije ndio mziki utakua mtamu.
============

The Ukrainian Armed Forces claimed Tuesday to have "liquidated" 850 Russian servicemen during the last day of fighting and raised to more than 127,000 the total number of Russian soldiers killed since the beginning of the invasion, a figure that contrasts with the one provided by Moscow, which has not updated its casualty toll for weeks.

The General Staff of the Ukrainian Army has pointed out in a message published on its official account on the social network Facebook that since the outbreak of the war on February 24, 2022, 127,500 Russian servicemen have been "liquidated", while 3,201 battle tanks, 2,197 artillery systems and 221 Russian anti-aircraft defense systems have been destroyed.
Itoleeni album na muiweke kwenye muvi wazee wa unHollywood
 
Vifaru hivyo vitapita wapi mkuu...sasa hv ata sindano ukiingia tunairipua
 
Bajeti ya jwtz we waijua!?..binafsi sijawahi sikia bajeti ya wizara ya ulinzi..kipindi Cha mkapa mpaka jk walikua wakiajiriwa wajeda wasiopungua 3k kwa mwaka
Bajeti ya Jeshi ni kiasi gani?
Kipindi Cha mkapa na kikwete wakiajiriwa watu walau 3k kila mwaka,ajira za jwtz zilisita kipindi Cha magu,jwtz kuwa na wanajeshi 28k SI kweli...lakini matumizi kwenye ulinzi na usalama huwa Siri na kipaumbele
Kipindi cha Nyerere baada ya mass recruitment ya vita kuna kupungua speed kwa kuita watu jeshini, from late 1970s to around 2000. Idadi ya wanajeshi wa umri mkubwa miaka ya 2000 walianza kustaafu. Hao wanahitaji marupurupu yao na pia wanahitaji kuwa replaced, na ukijaza nafasi zao kwa fujo unafanya kuwa na age gap muda hao waliojaza wanapostaafu.

Mwinyi hakufanya recruitment kubwa kutokana na uchumi mbovu na kutosheleza kwa wanajeshi waliotoka Kagera war, na silaha nyingi za kutoka vitani tuliendelea nazo mpaka leo. Mkapa akaja na uchumi ukaimarika, mwishoni mwa 1990s Tanzania kuna mwaka ilifika sawa na GDP ya Kenya. Majeshi mengi ya nchi tulivu huimarika uchumi wa nchi ukikua.

Kwenye bajeti kuna estimations zinafanyika. Bajeti ya ulinzi huchezea kwenye 1% to 2% ya GDP kwa nchi nyingi, Saudi Arabia ndio yenye bajeti kubwa zaidi kulingana na GDP kwa 6%. China hawafiki hata 2%. Kwa defense procurement ya Tanzania ilivyo na kuzingatia vitu vingi, hakuna uwezekano wa kuwa na bajeti zaidi ya 3% of GDP. Sasa tafuta GDP ya Tanzania ni ngapi na 3% ambayo ni overestimation tukiwa pessimistic ni fedha kiasi gani. Kisha chukua hao wanajeshi 50,000 tafuta basic salary ya mwanajeshi ni ngapi, maofisa, fedha za uendeshaji, procurement, retirement funds, training na mambo mengine yote. Hesabu ya active 50,000 troops haikai.

Na hakuna haja ya kuwa na 50k troops active ndio maana kuna reserve na paramilitary. Jeshi liendane na uchumi na hali ya usalama wa nchi, tofauti na hapo ni unnecessary militarisation ambayo inabackfire
 
Yaani taarifa za kueleweka za jeshi uzipate Wikipedia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi takwimu chanzo chake ni wapi? Je Marekani imefunga mtambo wa kuhesabu wanajeshi wa Urusi halafu wanakushuria wewe taarifa uzilete hapa JF, au sio mkuu?

Hivi karibuni mtakodiwa kwenda kuzaliana Urusi maana wanaishiwa wanaume...
 
"World's toughest fighter jet"

Mabwana zenu wamegoma kupeleka F-16 achilia mbali F-35 ambazo wanaziamini sana.
Urusi hana lolote kwa sasa hivi..takbirr
 
Kwa minajili ya Wikipedia, active personell wa JWTZ ni 28,000 sasa ukizingatia wanajeshi wa Urusi wameuawa 127,000 hiyo ni mara nne ya JWTZ, au kama vipi hapo ina maana wamefyekwa idadi ya ukijumlisha KDF, JWTZ, UDF, RDF n.k.

Jameni licha la hasara yote hiyo, Urusi wameambulia kugombania kamji ka chumvi huko mpakani, subirini vifaru vije ndio mziki utakua mtamu.
============

The Ukrainian Armed Forces claimed Tuesday to have "liquidated" 850 Russian servicemen during the last day of fighting and raised to more than 127,000 the total number of Russian soldiers killed since the beginning of the invasion, a figure that contrasts with the one provided by Moscow, which has not updated its casualty toll for weeks.

The General Staff of the Ukrainian Army has pointed out in a message published on its official account on the social network Facebook that since the outbreak of the war on February 24, 2022, 127,500 Russian servicemen have been "liquidated", while 3,201 battle tanks, 2,197 artillery systems and 221 Russian anti-aircraft defense systems have been destroyed.
Kama Urusi wamekufa wanajeshi 127,000 then utakuwa na matatizo ya kufikiri vizuri kuleta hii mada, hujiulizi kwa idadi hii, je ukraine watakuwa wamekufa wa ngapi? Kama mpaka December,2022 walikuwa wamekufa zaidi ya wanajeshi 100,000 wa Ukraine kulingana na kauli ya EU, je mpaka sasa free wanajeshi wa ukraine watakuwa wamekufa wa ngapi?
 
Urusi hana lolote kwa sasa hivi..takbirr
Eti Mrusi hana lolote!! Huna hata aibu, kwani helicopter gunships za KDF zilinunuliwa kutoka taifa gani? Kuwa mkweli hapa - husifikiri hatujui.
 
Kama Urusi wamekufa wanajeshi 127,000 then utakuwa na matatizo ya kufikiri vizuri kuleta hii mada, hujiulizi kwa idadi hii, je ukraine watakuwa wamekufa wa ngapi? Kama mpaka December,2022 walikuwa wamekufa zaidi ya wanajeshi 100,000 wa Ukraine kulingana na kauli ya EU, je mpaka sasa free wanajeshi wa ukraine watakuwa wamekufa wa ngapi?

Ukraine wako kwao, siku zote wavamizi ndio hufa wengi maana mnakatiza mitaa ya watu, duh maustadhi jiongezeni.
 
Eti Mrusi hana lolote!! Huna hata aibu, kwani helicopter gunships za KDF zilinunuliwa kutoka taifa gani? Kuwa mkweli hapa - husifikiri hatujui.

Mrusi niliyedhani namjua sio huyu ambaye amehangaishwa na kajirani hapo hadi anaokoteza mateja na wafungwa wakampiganie.
 
Mrusi niliyedhani namjua sio huyu ambaye amehangaishwa na kajirani hapo hadi anaokoteza mateja na wafungwa wakampiganie.
Sasa mnashwindwa nini kumaliza vita? Au unataka kusema mateja na wafungwa wapo vizuri kuliko Ukraine army + NATO?
 
Back
Top Bottom