Mpaka wanaongea na simu wakati mjadala ukiendelea bado tunajiuliza kama hii ni geresha?

Mpaka wanaongea na simu wakati mjadala ukiendelea bado tunajiuliza kama hii ni geresha?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Huu mjadala bungeni ni geresha tu, kutuuza mchana kweupe na watu tupo tu tunafatilia eti tuone maajabu yakitokea. Mnafikiri kitatokea kitu tofauti?

Si ni kuridhisha tu watu kuwa kuna taratibu zilifanywa kutoa maelezo kwa wananchi kuwa mkataba huu ulipitiwa vizuri kabla haujapitishwa😂😂.

Hakuna lolote litabadilika, ni kupigia mstari kuwa tumepigwa. Ndio tujifunze kuchagua watu wa maana sio umehogwa visenti viwili huyo unashupaza fithiemu mbele kwa mbele.

waonaojua kazi imesha wala hawahangaiki ni hili bunge!

 
Wakuu,

Huu mjadala bungeni ni geresha tu, kutuuza mchana kweupe na watu tupo tu tunafatilia eti tuone maajabu yakitokea. Mnafikiri kitatokea kitu tofauti?

Si ni kuridhisha tu watu kuwa kuna taratibu zilifanywa kutoa maelezo kwa wananchi kuwa mkataba huu ulipitiwa vizuri kabla haujapitishwa[emoji23][emoji23].

Hakuna lolote litabadilika, ni kupigia mstari kuwa tumepigwa. Ndio tujifunze kuchagua watu wa maana sio umehogwa visenti viwili huyo unashupaza fithiemu mbele kwa mbele.

waonaojua kazi imesha wala hawahangaiki ni hili bunge!

Hiyo mbona kawaida sana sema wewe huwa huangalii bunge

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Ccm oyeedee
Wapinzani wametuchelewesh sana guys
Mambo ya mafiga matatu hayoioiio
Kachukua kaweka waaaaaaaa
 
Back
Top Bottom