Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ya mwaka 2005 sio sawa na hii ya mwaka 2025. CCM wanalazimisha "one party state" ila watu wamewachoka..Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.
Nahisi hapo kwenye mkutano akili yake haipo kabisa, analaani chini chini.Wasanii wote wangekuwa Ikulu na bado kungebuma😂😂
birthday akafanye na abdul wake watanzania inatusaidia nini, au italeta mkate mezaniHiyo birthday Ina tija gani Kwa taifa, inampunguziaje maskini bei ya sukari!
Hata mimi sijuiKibaya chajitembeza Kizuri chajiuza!
Sasa sijui katika makundi hayo mawili Mama yuko kundi gani.
Bora hizo hela wangenunua gloves za hospitali ili mama wa kujifungua asikodi bajaji kutoka hospitali kurudi nyumbani kufanyiwa operation kwa mkasi na mumewe.Wakuu,
View attachment 3215630
CCM ndio mko deparate kiasi hiki?Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki
Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia![]()
![]()
. Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni
.
Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.
Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.
Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.
Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka![]()
Hivi huyu mzanzibari anajua kuwa kuna watu hawapati hata dawa hospitali!! Hii ni kufuru kwakweliMnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.
Kipo kazini ndiyo kwanza hakuna anayekiona....chajitembeza.
Hivi kuna chawa wanaitetea hiiWakuu,
View attachment 3215630
CCM ndio mko deparate kiasi hiki?Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki
Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia![]()
![]()
. Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni
.
Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.
Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.
Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.
Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka![]()