Mpambano: Mange Kimambi Vs Frank Gonga a.k.a Baba Bhoke

Mpambano: Mange Kimambi Vs Frank Gonga a.k.a Baba Bhoke

Status
Not open for further replies.
Mange hajafanya fair kuanika hayo mambo, hata kama frank ndiyo ameanza angepiga kimya...kujidhalilisha tu mtu gani anagombana na mwanae...ina maana dunia nzima mzuri yeye tu ndiyo hana mapungufu!!! Nataman ningempa ukweli kwenye page yake ila ndiyo doooh achelewi kunianika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bora uogope hivyo hivyo yule mwanamke atawachamba hadi babu zako waliokufa enzi za mkoloni bila kusahau kuku na sahani zenu
 
Ipo siku huyo Mange ataanzisha bifu na hako ka binti kake na sitashangaa kabisa akikaita ni kabaya kwa sababu ni keusi.

You watch this space...

Hata mimi naona, pia hofu yangu maadui zake watawatumia huyo mwanae na x wake kumpata ajibu mashtaka yake
 
Hivi bado kuna binadamu wanamuona huyu Mange wa maana? Mwanamke gani azae mtoto amuachie babake tena mtoto wa 3 months? Tena kamuacha mpaka 11yrs then Leo anapata uchungu? Huyu sio mama ni mtaka attention Kama kawaida yake, wale ambao hawamjui watamtete lakini huyu hapikiki kokote. Frank kamlea mtoto wake anzia Mange alivyomuacha akiwa 3months old mpaka miaka 11 am up on I pendens za kwa Fausta Shirima ndio Frank akakubali kumuachia mtoto! Sasa jiulize alienda kusoma miaka 11? Au alienda Dubai kujiuza baada ya kuwa deported marekani sababu ya wizi(udokozi) Eti leo hii unataka watu wakuone wa maana kwa kuishi na mwanao only 3yrs NYAMBAFU KWELI HUYU MWANAMKE. Na mkiona Frank kaongea ujue yamemfika hapaa. Mwanamke gani kutwa kutukana watu kwenye mitandao mpaka hana muda Wa kuwapikia wanae wadogo anawalisha viporo vya WK nzima na anapost kabisa Instagram jamani
 
Hivi bado kuna binadamu wanamuona huyu Mange wa maana? Mwanamke gani azae mtoto amuachie babake tena mtoto wa 3 months? Tena kamuacha mpaka 11yrs then Leo anapata uchungu? Huyu sio mama ni mtaka attention Kama kawaida yake, wale ambao hawamjui watamtete lakini huyu hapikiki kokote. Frank kamlea mtoto wake anzia Mange alivyomuacha akiwa 3months old mpaka miaka 11 am up on I pendens za kwa Fausta Shirima ndio Frank akakubali kumuachia mtoto! Sasa jiulize alienda kusoma miaka 11? Au alienda Dubai kujiuza baada ya kuwa deported marekani sababu ya wizi(udokozi) Eti leo hii unataka watu wakuone wa maana kwa kuishi na mwanao only 3yrs NYAMBAFU KWELI HUYU MWANAMKE. Na mkiona Frank kaongea ujue yamemfika hapaa. Mwanamke gani kutwa kutukana watu kwenye mitandao mpaka hana muda Wa kuwapikia wanae wadogo anawalisha viporo vya WK nzima na anapost kabisa Instagram jamani
Bora kuzaa umpe amuue yeye kuliko angemtoa akiwa tumboni.alifanya jambo la maana sana.tena wanaume wanaojua kutomboka kutake responsibility hawawezi hiyo ndo dawa yao..nyooo eti mwanamke gani .
 
Mwanamke gani kutwa kutukana watu kwenye mitandao mpaka hana muda Wa kuwapikia wanae wadogo anawalisha viporo vya WK nzima na anapost kabisa Instagram jamani

Matusi aporomoshayo huko kwenye mitandao ya kijamii ni grounds tosha kabisa za kumnyang'anya custody ya watoto wake.

Kwa sababu kuwa mzazi si kubadilisha tu nepi na kuwapikia wanao chakula.

Mienendo yako pia ina matter.

Anatoa mfano gani sasa kwa wanae anavyokuwa anatukana hivyo kwenye mitandao?

Kwamba kutukana ni sawa tu?

Hebu imagine mama yako wewe angekuwa anatukana matusi kama hayo tena hadharani kweupe kabisa.....ungejisikiaje?

Nawe ukiiga hiyo tabia yake na kuanza tu kutukana kila aina ya mitusi kwa yeyote utayepishana naye kauli, jamii itawaonaje wewe na mama yako?

Mzazi ndo anapaswa kuwa mfano wa kwanza kabisa wa kitabia na maadili kwa wanae. Kwa hilo huyo mdada amefeli kabisa.
 
Matusi aporomoshayo huko kwenye mitandao ya kijamii ni grounds tosha kabisa za kumnyang'anya custody ya watoto wake.

Kwa sababu kuwa mzazi si kubadilisha tu nepi na kuwapikia wanao chakula.

Mienendo yako pia ina matter.

Anatoa mfano gani sasa kwa wanae anavyokuwa anatukana hivyo kwenye mitandao?

Kwamba kutukana ni sawa tu?

Hebu imagine mama yako wewe angekuwa anatukana matusi kama hayo tena hadharani kweupe kabisa.....ungejisikiaje?

Nawe ukiiga hiyo tabia yake na kuanza tu kutukana kila aina ya mitusi kwa yeyote utayepishana naye kauli, jamii itawaonaje wewe na mama yako?

Mzazi ndo anapaswa kuwa mfano wa kwanza kabisa wa kitabia na maadili kwa wanae. Kwa hilo huyo mdada amefeli kabisa.
Yani huo mfano wa mama nimesikia kibaridi ghafla! Huyu hamnazo mkuu kabisa yani just watch how mzungu anachukua vile vichotara. Ndio atazidi kuwa chizi
 
Matusi aporomoshayo huko kwenye mitandao ya kijamii ni grounds tosha kabisa za kumnyang'anya custody ya watoto wake.

Kwa sababu kuwa mzazi si kubadilisha tu nepi na kuwapikia wanao chakula.

Mienendo yako pia ina matter.

Anatoa mfano gani sasa kwa wanae anavyokuwa anatukana hivyo kwenye mitandao?

Kwamba kutukana ni sawa tu?

Hebu imagine mama yako wewe angekuwa anatukana matusi kama hayo tena hadharani kweupe kabisa.....ungejisikiaje?

Nawe ukiiga hiyo tabia yake na kuanza tu kutukana kila aina ya mitusi kwa yeyote utayepishana naye kauli, jamii itawaonaje wewe na mama yako?

Mzazi ndo anapaswa kuwa mfano wa kwanza kabisa wa kitabia na maadili kwa wanae. Kwa hilo huyo mdada amefeli kabisa.
Unaonaje kama mkuu wa wabeba box USA,umshauri Mange ajipumzishe na hizi social website for sometime-I fear sooner or later something will have to give-I fear for her sanity-hii vita ya sasa surely will not leave her in one piece-she may end up losing even custody ya hao watoto wengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom