Mpambano mkali kituo cha Polisi Nzega stendi kati ya Abiria na Polisi

kosa la mwendokasi dereva anaweka lock up au anaandikiwa fine??

Au mwenzetu bado unatembea kwa miguu maswala ya barababarani huyajui 🤣 🤣 🤣
 
Daah mkuu mwambie aliyekuchomekea auchomoe uandike vizuri yaan unakatika katika hadi sio poa
 
Sina gari mkuu ni mwendo wa daladala tu.

Yeah lockup inamhusu na sio mara ya kwanza kwa dereva kuwekwa ndani kisa mwendo kasi. Pitia uzi wa mabasi sijui sauli utaona shuhuda za wananzengo kuhusu polisi na madereva wa mwendo kasi
kosa la mwendokasi dereva anaweka lock up au anaandikiwa fine??

Au mwenzetu bado unatembea kwa miguu maswala ya barababarani huyajui 🤣 🤣 🤣
 
hivi karne hii ya technolojia bado kuna magari ya kuwalaza watu njiani!!!???
 
Reactions: ALT
Sina gari mkuu ni mwendo wa daladala tu.

Yeah lockup inamhusu na sio mara ya kwanza kwa dereva kuwekwa ndani kisa mwendo kasi. Pitia uzi wa mabasi sijui sauli utaona shuhuda za wananzengo kuhusu polisi na madereva wa mwendo kasi
aisee tafuta kwanza pesa uwe na gari alafu ndiyo ujue makosa ya fine ni yapi na makosa ya lock up ni yapi.
 
aisee tafuta kwanza pesa uwe na gari alafu ndiyo ujue makosa ya fine ni yapi na makosa ya lock up ni yapi.
Aise hujui chochote alaf unaongea Sana.
Uendeshaji wa Njia ya hatari/overspeed kinyume na K/F 42
Adhabu yake chini ya k/f cha 63(2) (b) adhabu yake ni faini au kifungo kisicho pungua miaka miwili.
Kwahiyo ukiona unapigwa faini na kuachiwa siyo kwamba huwezi kukamatwa na kuwekwa lockup unakamatwa vizuri tu na ndani ya masaa 24 unapelekwa mahakamani na unachezea mvua miaka miwili jela ila kama ushahidi upo na hauna shaka ndani yake.
Sheria hapa Tz zinalegezwa sana zikiamua kukazwa kila mtu ataionja jela mfano kuna wengi sana tunafundishana magari/pikipik bila kibali chochote bila kujua ni kosa kisheria
 
Na zikishaua ndugu zao wanakuja kuilalamikia serikali na polisi hawakudhibiti mwendokasi
Achana nao hao sisi wa Tz huwa ni wanafki sana gari hata ikiwa mwendo mdogo likipata hitilaf likaanguka utaskia alikua anakimbia Sana, lakin akiwa mwendo kasi na mkafika salama anapewa sifa nyingi
 
Huo muda wa saa 9 usiku mliofika........Asubuhi yake dereva huyohuyo anarudi nalo Arusha tena
 
Reactions: ALT
aisee tafuta kwanza pesa uwe na gari alafu ndiyo ujue makosa ya fine ni yapi na makosa ya lock up ni yapi.

taja hata moja mkuu.

ndio nyinyi mnaosema anayekanyaga zebra anatakiwa apewe onyo aondoke.
mwendo kasi ni jaribio la kuua kama lilivyo hilo hapo juu.
ni hapa bongo tu sababu ya umasikini,wahuni barabarani wanageuzwa kitega uchumi,mpaka makosa serious namna hiyo unatozwa fine ya elfu 30.

kuachwa uendelee kuendesha gari lako zuri ni sababu uko mwenyewe ndani humo,ukibinuka kafie mbali huko utajijua.
 
Aisee polisi wangekuwa wako sawa wangeendelea kumshikilia dereva,
why wamemuachia dereva kama kweli sheria iliwaelekeza kumuweka lock up dereva na kuwaacha abiria na sintofahamu???

Mnatakiwa mjiongeze msisome traffic acts kama makasuku, huyo mkuu wa polisi aliyetoa order angedhibitishaje kuwa dereva alikua kwenye mwendokasi??
 
dereva ameachiwa ameendelea na safari kwasababu hakutakiwa kuwekwa lock up full stop.
 
Mwendokasi inakutia hatiani hata kwa ushahidi wa kimazingira tu na siyo lazima upigwe tochi za wale trafki ilimrad tu umehatarisha usalama wa watumiaji wengine wa barabara na abiria uliowabeba unaweza kukamatwa na kupelekwa mahakamani.
Polisi kumuachia huyo dereva haimaanishi kwamba dereva hakua na kosa isipokua inawezekana busara ilitumika.
Polisi kosa lao ni kuruhusu gari kuondoka Stand Arusha bila kuhakikisha gari ina dereva wawili na ingekua na dereva wawili huyo dereva asingeachiwa na kukamatwa kwake haikua uonevu, ajali zinauwa na zinasababishia watu ulemavu wa Tz tuache kushabikia haya mambo ya hatari gari ikiwa mwendo kasi ni hatari kama ilivyo silaha zingine za mauaji.
 
Reactions: ALT
eti busara ilitumika 🤣 🤣 🤣

Walivyomkamata na kuwaahc aabiraia na sintofahamu ni nini ilitumika???

Huu ni muda muafaka wa jeshi la polisi kuacha kuajiri failures(division 4 na zero) ili kuepukana na upumbavu kama huu.
 
eti busara ilitumika [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Walivyomkamata na kuwaahc aabiraia na sintofahamu ni nini ilitumika???

Huu ni muda muafaka wa jeshi la polisi kuacha kuajiri failures(division 4 na zero) ili kuepukana na upumbavu kama huu.
Sasa usiseme kuwa kosa la overspeed ni faini peke yake alaf unakomaa kabisa kumbe hujui
 
Reactions: ALT
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…