Mpambano mkali kituo cha Polisi Nzega stendi kati ya Abiria na Polisi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila kuwa mfuasi wa gaidi kazi sana,wewe umeniita maskini kisa sina gari,nimekuita tajiri unapanic daahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
acha mawazo ya kifukara bana umeniaibisha mnoo.

usirudie tena kumuita mtu tajiri eti kisa tu ana gari 🀣 🀣 🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila kuwa mfuasi wa gaidi kazi sana,wewe umeniita maskini kisa sina gari,nimekuita tajiri unapanic daahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

ohh masikini nikuambia hapa u-quote maandishi yangu niliyosema wewe ni "masikini" nakununulia kanga za chama doti 20.

Narudia tena acha mawazo ya kifukara, usimuite tena mtu tajiri kisa tu ana gari, leo umeniaibisha mnoo 🀣 🀣 🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kumbe nawe ni wale wale wanunua kanga za chama. Maskini natafuta hela tajiri mwenye gariπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
ohh masikini nikuambia hapa u-quote maandishi yangu niliyosema wewe ni "masikini" nakununulia kanga za chama doti 20.

Narudia tena acha mawazo ya kifukara, usimuite tena mtu tajiri kisa tu ana gari, leo umeniaibisha mnoo 🀣 🀣 🀣
 
Habari haijaandikwa kishabiki, imeandikwa kitaalamu, ila wewe ndo Mshabiki uliyeumia, kwenye Hitimisho mtoa Masa kashauri na kutoa mapendekezo yote...

Hata Kama inauma Vumilia tu.
 
Polisi wana haki ya kutimiza wajibu wao, lakini wakumbuke na usemi wa Samia, sheria na utu. Unamchukua Dereva wa gari lililotoka masafa, abiria waliomo hali zao huna habari! Kama gari ni bovu polisi ina wajibu kumtaka mmliki kuleta au kukodi gari lingine safari iendelee. Kama dereva mnamhitaji , mmiliki alete dereva mwingine. Mbona mnanyang'anya bodaboda funguo na kuendesha pikipiki zao, leseni ya kuendesha mabasi hamna?
 
Haha kumbe ulikuwa kwenye kiazi kitamu mdau mie nilikuwa kwenye Dar lux wale askari wapuuzi sana aiseee hasa yule mzee aliyekuwepo kituoni hajui lolote
Ndio mdau...ile siku sitoisahau maishani kwakweli. DAR LUX / KIAZI KITAMU wakipambania madereva wao ili safari iendelee kwa mujibu wa PGO
 

Unaweza kuwa sahihi kabisa kwa mujibu wa katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa tanzania. Ila, msikilize aliyekuwa amemshika dereva wa gari pale alipomrudisha baada ya raia kumhoji.
Your browser is not able to display this video.
 
Siku mpiga mzinga kwa sababu ya oversped na mkakatika vichwa mje tena hapa kuandika gazeti la namna mlivyomshabikia dreva kuwafikisha kuzimu!

Laiti ungekua umeelewa nilichokimaanisha, husinge tamatisha hivi. Anyway, tunategemeana. Bila msuguano hakuna moto.
 
Walipeta kwa sababu ilikuwa usiku na mmeanzisha vurugu. Siku hizi ni sheria, Safari ndefu lazima madereva wawili, full stop!

Binafsi, niliona walitambua kosa kubwa walilofanya arusha, waliruhusuje gari litoke ilihali dereva ni mmoja? Ujue hua wanasaini vile vitabu vyao vya magari kabla hayajatoka. Very simple, ni kwamba walifunika kosa lao la kwanza kwa kufanya kosa la pili. Ndio maana, nimeleta hapa ili tujifunze, iwe case study ili yasitokee mambo haya.
 
Abiria ni watu wanafiki sana likienda kuanguka au kugonga na kusababishia watu ulemavu/kifo utaskia dereva alikua nakimbia sana na polisi walimruhusu
Huo haukua ushindi ila waliacha kwasababu mmeshakua radhi kufa

I second you 100%
 
"Hapa si Polisi usalama wa raia? Tufungulie tuingie tulale humo humo"alisikika jaluo mmoja🀣

Kimsingi sauti hiyohiyo iliskika wakati gari limeharibika babati ikisema " abiria , tusubiri kidogo, kuna mtu ameenda kumchukulia dereva maziwa", kumbe, ilikua fix
 
Mbona naona kama police walikua sahihi?

Walikiri kabisa walikuwa sahihi, na mimi niliona. Sema hatuwezi kutatua kila kitu kwa sheria, hekima ni mhimu. Unamchukua dereva, unawaacha abiria bila kuwataarifu, wana njaa, wamechoka na kibaya zaidi, hao ndio wanakulipa. inabidi ufikirie pande zote, utoe maamuzi sahihi.
 

Lichukue kama case study, take it positive, kuna kitu cha kujifunza hapa. Tuvumiliane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…