Unawajua wapambe wangapi wa raisi ???? Kazi na majukumu yao?Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.
Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.
Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.
Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.
Yule bodyguard wa JOM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana
Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Muda wake umeishakukaa nyuma ya Rais...anatakiwa akapangiwe kazi inginemaana sasa ni Brig Gen...mpambe huwa ColAnaitwa Nyamburi Mashauri.
Hiyo kucheka ilimletea Rais athari gani?Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.
Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.
Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.
Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.
Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana
Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.
Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.
Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.
Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.
Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana
Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Rais hupewa mpambe Col akipanda tu hurudi jeshini kupangiwa kazi ingine.....anzia mpambe wa JK ...Brig Kimaro..alipopanda akatolewa akaenda MMK....yule wa Magu na yeye alipanda akatolewa akapewa mpya....ukiwa Brig lazimautokee ni General nyota 1 hutakiwi umlinde Rais ....anatakiwa apewe majukumu ya General....Kwamba akifika level ya magenerali anakuwa senior sana kubeba mkoba wa Rais
GENTAMYCINE muona mbali nilipomsema hapa hapa JamiiForums mwaka huu si mliniona sijui na labda nina Chuki nae?Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.
Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.
Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.
Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.
Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana
Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Nyamburi Mashauri