Mpambe wa Rais Samia apunguze kutabasamu na kucheka

Mpambe wa Rais Samia apunguze kutabasamu na kucheka

Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Mada za kijinga kama hizi zimekuwa nyingi hapa JF
 
Kucheka cheka na masnitch sitaki wameshachezea block na kwenye simu hawanipati..
 
Kwani Akipunguza italeta ugali mezani kwako.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Kuna video hujaona wewe mpaka ma bodyguard sikuhiyo walikuwa wanacheka!, kuna mtandao fulani si nikakomenti "Mbona ma bodyguard wanacheka!" nikajibiwa "Kwani wao hawana bandama!".
Nikaondoka sikutaka mambo mengi nawalimwengu!.
Mbona bandama😆
 
Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Na moja ya vigezo vya kuwa mpambe wa rais ni kutocheka?
 
Nadhani yule bodigadi mweusi wa rais magufuli akiwa peke yake ndio anaanza kucheka maneno ya boss wake hivi unaachaje kucheka mtu anaambiwa qbaki na mavi yake magetoni
 
Back
Top Bottom