4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mkuu mpaka yupo pale ameiva acha gubu, so kama umeona anacheka cheka jichanganye kwenye kumi na nane zake ,achana akiwa kazini , bali kwenye makazi yake binafsi alafu leta mrejesho.Kuna nature ya kazi kuchekacheka sio,
Atakufuga na kazi yako iwe nikulisha kuku , kwa siku 14 ,