Mpambe wa Rais Samia apunguze kutabasamu na kucheka

Mpambe wa Rais Samia apunguze kutabasamu na kucheka

Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Acha ufala umeshasema alikuo kwenye tuzo za COMEDY so ulitaka awe analia?
 
Acha ufala umeshasema alikuo kwenye tuzo za COMEDY so ulitaka awe analia?
Kwa hiyo akienda msibani rais akilia na yeye alie pumbavu kabisa weww
 
Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Naye ni Binadamu ana hisia kama wewe.
 
Kwahiyo sifa ya ujasiri na uwezo ni kununa,
Ogopa sana mtu anaecheka na kuonesha tabasamu muda wote anakupiga bisu la tumbo huku anakuchekea usoni adi unakata roho picha utayokufa nayo ni tabasamu lake.
Kuchekacheka means akili yake iko interested na vichekesho vilivyo around boss wake, badala ya akili kuwa interested na usalama wa boss wake!

Akili ikiwa interested na usalama, inakuwa bize kuevaluate mazingira na matukio in terms of usalama, na si kuevaluate mazingira na matukio kisanaa!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Unataka kumwaribia dada wa watu kazi.Utapata faida gani?
 
Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Unasumbuliwa na Usukama gang, amka Jiwe meshauliwa na Mungu
 
Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Unasumbuliwa na Usukama gang, amka Jiwe meshauliwa na Mungu
 
Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Huu uzi umekaa kifitna sana na dhumuni ni dada wa watu atolewe da wanadamu bwana
 
Sio rahisi,ameshapangiwa majukumu mengine,sema atakuwa alilia sana kukatishwa ulaji na kifocha bosi wake
Kumbe bodyguard wa raisi anaulaji wa maana, posho zinakuwa nyingi sana au ni mpaka mshahara nao ni mnono
 
Huu uzi umekaa kifitna sana na dhumuni ni dada wa watu atolewe da wanadamu bwana
Hawezi kutolewa sababu tu ya uzi wa JF,labda kukumbushwa tu kuwa anatakiwa kuconcetrate na kazi yake
 
Kumbe bodyguard wa raisi anaulaji wa maana, posho zinakuwa nyingi sana au ni mpaka mshahara nao ni mnono
Wanakula sana,kwanza wanajua siri binafsi za rais,posho za safari,mishahara,status nk ni kazi nyeti sana hiyo
 
Sasa kakumbuka moyoni kuwa Simba itakula goli 8 siku ya tar 8 asicheke? Acha uzwa uzwa
 
Anaitwa Nyamburi Mashauri. Hata hivyo ni binadamu kama wengine ambaye ana hisia. Hawezi kujitesa kuchekea tumboni wakati wengine tunafurahi wazi.
Ni ngumu sana kumuona Jaji au hakimu akicheka wakati mtuhumiwa anatoa ushahidi mahakamani . Kucheka kwake hakimu au Jaji kunam-athiri anayendeelea kutoa ushahidi maana anaweza ona kama anachoeleza kinaonekana kama kituko mbele za watu na mahakaman.

Kinaonesha kuwa kuna upendoleo. Acha tu wakazr sura
 
Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.

Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.

Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.

Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.

Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana

Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Hivi kutambua majukum yako ni mpaka uwe na sura ya Mbuzi, kuna watu daily ni tabasam ila cheza kwenye kumi nane zao ndo utajua hujui, mfano kikwete atacheka kama mpo pamoja ila sasa jaribu kuyakanyaga
 
Hivi kutambua majukum yako ni mpaka uwe na sura ya Mbuzi, kuna watu daily ni tabasam ila cheza kwenye kumi nane zao ndo utajua hujui, mfano kikwete atacheka kama mpo pamoja ila sasa jaribu kuyakanyaga
Kuna nature ya kazi kuchekacheka sio,
 
Back
Top Bottom