Unayoyasema ni sahihi, ila ukiukwaji wa Katiba uliofanywa na Rais wa Zanzibar kumpandisha ADC wake na kuwa Col ndicho kinasababisha ADC wa Samia sasa kuwa BrigRais hupewa mpambe Col akipanda tu hurudi jeshini kupangiwa kazi ingine.....anzia mpambe wa JK ...Brig Kimaro..alipopanda akatolewa akaenda MMK....yule wa Magu na yeye alipanda akatolewa akapewa mpya....ukiwa Brig lazimautokee ni General nyota 1 hutakiwi umlinde Rais ....anatakiwa apewe majukumu ya General....
Mkuu....Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.
Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka. Palikuwa mahali pa kucheka na mzaha pia.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.
Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu. Una uhakika?...
Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje. Mpambe hahusiki na masuala ya kiulinzi, walinzi wapo.
Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana. yule alikuwa MLINZI sio Mpambe
Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Swali zuri sanaa....nadhani ni commonwealth protocal....za kijeshi...kwamba Rais...anakuwa na Col wa Jeshi....Kwanini awe kanali na sio Luteni Kanali au Brigadier??
Zbara wake sina hakika kama ni full Col....kama wamempandisha anataka na yeye aheshimike kama Rais...Kamili..nadhani huwa Lt ColSwali zuri sanaa....nadhani ni commonwealth protocal....za kijeshi...kwamba Rais...anakuwa na Col wa Jeshi....
Mkuu, alafu kwanini Rais akiwa nje ya nchi ADC wa nchi husika ndiye anayekaa nyuma yake na sio huyu wa Tanzania?? Au ni protocol pia??Swali zuri sanaa....nadhani ni commonwealth protocal....za kijeshi...kwamba Rais...anakuwa na Col wa Jeshi....
Hahahaha JF wajuaji wengiAkili za watu bwana, kwani kuwa mpambe wa Rais kunakufanya usiwe mwanadamu, au unadhani ukienda jeshini ndio unaondoa tabia za kibinadamu?
Ni Protocal pia...ADC hukaa pembeni hupewa mpya wa Jeshi nchi husika..Mkuu, alafu kwanini Rais akiwa nje ya nchi ADC wa nchi husika ndiye anayekaa nyuma yake na sio huyu wa Tanzania?? Au ni protocol pia??
Basi washauri wanaotufokea na kutulisha matango pori,Luca,choice,Tlaatlah na genge lao japo wakae wafanye mapitio ya matango pori wanayoturushia humu,kisa watenge siku ya tathimini kujikagua na kujipanga kwa matango pori mapya angalao yenye kuchekesha na sii ya kutufokea tu.Mwacheni dada wa watu acheke.
Maisha yenyewe ndio haya haya.
Mfano mimi nimepanga leo ni siku ya kucheka tu mpaka asubuhi ya kesho.
Kwamba hujui kama kucheka ni dawa??Simjui hata jina ila huyu mpambe anatakiwa kuwa na sura ya kazi.
Kwenye tuzo za comedy alikuwa akicheja cheka.
Juzi tena kule Tanga ziarani,alionekana akitabasamu baada ya yuke binti kukalia kiti.
Tangunipate fahamu sijawahi kuona mpambe au mlinzi wa Rais akicheka au kutabasamu.
Najua kazi yake sio kumlinda Rais ila kuna mazingira ya dharura yanaweza kutokea akasaidia, sasa kama uko busy kufuatilia matukio badala ya usalama wa boss wako inakuwaje.
Yule bodyguard wa JPM yile black alikuwa kipenzi cha watu maana alikuwa serias sana
Sijuil lakini ,wao wanajua zaidi
Hayo mazuzu hata muda wa kufanya tafakari yanao sasa, maana ni yanarushiwa vitu vya kupost kwenye magroup yao ya WhatsApp halafu ndio wanakuja kupost humu halafu wanapiga screenshot zinapelekewa kwa mhasibu wa kulipa machawa ndio hizo buku 7 zinatolewa na hiyo inapply katika mitandao yote.Basi washauri wanaotufokea na kutulisha matango pori,Luca,choice,Tlaatlah na genge lao japo wakae wafanye mapitio ya matango pori wanayoturushia humu,kisa watenge siku ya tathimini kujikagua na kujipanga kwa matango pori mapya angalao yenye kuchekesha na sii ya kutufokea tu.
Hilo nalo litazingatiwa.Basi washauri wanaotufokea na kutulisha matango pori,Luca,choice,Tlaatlah na genge lao japo wakae wafanye mapitio ya matango pori wanayoturushia humu,kisa watenge siku ya tathimini kujikagua na kujipanga kwa matango pori mapya angalao yenye kuchekesha na sii ya kutufokea tu.
Hayo mazuzu hata muda wa kufanya tafakari yanao sasa, maana ni yanarushiwa vitu vya kupost kwenye magroup yao ya WhatsApp halafu ndio wanakuja kupost humu halafu wanapiga screenshot zinapelekewa kwa mhasibu wa kulipa machawa ndio hizo buku 7 zinatolewa na hiyo inapply katika mitandao yote.Basi washauri wanaotufokea na kutulisha matango pori,Luca,choice,Tlaatlah na genge lao japo wakae wafanye mapitio ya matango pori wanayoturushia humu,kisa watenge siku ya tathimini kujikagua na kujipanga kwa matango pori mapya angalao yenye kuchekesha na sii ya kutufokea tu.