Mpambe wa Rais Samia apunguze kutabasamu na kucheka

Kuna nature ya kazi kuchekacheka sio,
Mkuu mpaka yupo pale ameiva acha gubu, so kama umeona anacheka cheka jichanganye kwenye kumi na nane zake ,achana akiwa kazini , bali kwenye makazi yake binafsi alafu leta mrejesho.

Atakufuga na kazi yako iwe nikulisha kuku , kwa siku 14 ,
 
Kwani kucheka dada ni dhambi ? Au unataka atolewe ili uwe wewe. Maana ushaanza majungu
 
Huyo anavutiwa muda tu 1 yr kuwa na brigade then CV inakaa sawa anakuwa accelerated to major general hapo by 2028 anakuwa cdf
Wabadilishe hizo sheria ,kwangu mimi hata JENERALI anaweza kubeba mkoba wa Rais na kuwa mpambe wa Rais kwani hakuna cheo kikubwa zaidi ya URAIS wenyewe.....

Nadhani itafika kipindi kutakuwa na mabadiliko ya hizi "STATUS QUO".....

#JMT milele dumu !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…