Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Walioplot haya mauwaji ni mandezi tu na hata aliye recruit assasin anafanya mambo locally sana na bahati analindwa na mamlaka thats why case imeishia mabegani tu!
Hapa ni dhahiri mfadhiri wa mauwaji wauaji walimtaja, sema mpelelezi/wapelelezi wameufyata kumuunga.
Walichobugi ni kuwahusisha madereva na kuua mtu mmoja tu hiyo imewapa syndicate nyepesi kwa mpelelezi kuunganisha nukta.
Halafu usikute wametumia mawasiliano kwa namba za simu zinazo tambulika.
Kwa professional killer angehusisha mtu mmoja tu halafu yy angetoka nao kia then angemuweka mtu na gari pale JNIA na targeted area ya kumaliza mchezo.
Hapa ni dhahiri mfadhiri wa mauwaji wauaji walimtaja, sema mpelelezi/wapelelezi wameufyata kumuunga.
Walichobugi ni kuwahusisha madereva na kuua mtu mmoja tu hiyo imewapa syndicate nyepesi kwa mpelelezi kuunganisha nukta.
Halafu usikute wametumia mawasiliano kwa namba za simu zinazo tambulika.
Kwa professional killer angehusisha mtu mmoja tu halafu yy angetoka nao kia then angemuweka mtu na gari pale JNIA na targeted area ya kumaliza mchezo.