Walikuwa wengi sana kwenye missionDah inamaana hawa jamaa walishindwa kusuka mipango wasikamatike? Au ilikuwaje?
Upo sahihi.Hao watu waliosome na kubobea kufanya uchunguzi hawawezi kutumiwa na majambazi ili kuondoa traces zote?
Kwa teknolojianya kibongo mi naona ni rahisi sana, na majambazi wengi tu wanaua na kudunda mtaani.
Uzembe wa wapeleleziKwahiyo Mwenendo wa Upelelezi na kesi mahakamani mawakili walishindwa kubaini aliyemtuma Machips?
ni ngumu sana mkuu,wezi,wabadhilifu na mafisadi wamejificha kwenye chama na serikali,likitokea la kutokea watawatoa kafara madereva boda, mama ntilie,madereva,walinzi wa getini ila wao mapapa hawatoguswa kwenye msala kama huu wa kwenye mada.Bado kuna wale Waburushi wa Mbarali!! Na wote hawa utawakuta ni wanachama, na pia wafadhili wa ccm!
Mimi kwa mawazo yangu tu huyu Karama ameingia kwenye wale waliopotea na hawajulikani alipo.Bado kesi haieleweki yupo wapi Karama? ameuawa? amefichwa? sababu za kuuawa kwa Lotter? nani aliyefadhili hizo hela?
Kweli na ndio maana tunasema issue ya Lissu ilikuwa na baraka zote "Maino" Tpain.Kuna watu walisomea na kubobea kufanya uchunguzi.
Huezi fanya mauaji watu wasikukamate. Lazima utaacha trace ambayo ndo itasababisha wewe kukamatwa.
Labda uue mbuzi wa jirani yako.
Ndo watafte namna mapema mana kishawakaKwamba huko deathrow ndo huwezi uawa na magereza?
True story,Makes senseKuna sehemu chain Imekatika sio ajabu Hawa wote kwenye death row hawamjui financier ambaye Ni MTU maarufu na mwenye pesa zake.
All in all, hata yeye siku si nyingi atakufa. Trust KARMA.
Unaweza kuta ndo miongoni mwa majangili hao mkuuWe nae lofa tu,kwani mauaji mengine hufuatiliagi kuona yeyote alohusika anadakwa hata muwe 100. Akili yako inaona mzungu tu,hata kesi ya bilionea msuya hukumbuki? Au nae alikua mzungu
Karama umemuona hapo?Trace moja tu ikipatikana ambayo mara nyingi ni simu, utawapata wote, na baada ta hapo ni mwendo wa Kipondo tu mtaeleza mpaka mlipoenda uwani
Hata wawili tu mnadakwaMission ikishazidi watu 2 basi lazima mtadakwa
Ova
No perfect murder mzee,ni msemo wa kwenye tasnia ya ukacheroHao watu waliosome na kubobea kufanya uchunguzi hawawezi kutumiwa na majambazi ili kuondoa traces zote?
Kwa teknolojianya kibongo mi naona ni rahisi sana, na majambazi wengi tu wanaua na kudunda mtaani.
Kasema hivyo,umemuamini,na wewe unaenda yaeneza,unaenda mtia mtu ubaya huna hata uhakikaAnaweza akawa amehusika pia
Asante kushare nasi kwa uchache hii kitu
ni Msomali waliokuja Tanzania zamani huyu ni kizazi cha tatu . yes ana kibanda cha chips stand Kuu ya Arusha walifukuzwa wenye vibanda na manispaa kwa kuwa yeye ni mwanchama Hai wa ccm akapambana mpaka akabaki stand kuu lakini akiwa sasa amehamishia biashara yake ya chai na chips ghrofani ndani ya stand kuu.Je machips ana interest gan na mtasha ikiwa hakuna mtu nyuma yake. Mambo ni mengi
Je huyu machips ni mchoma chips kweli au just aka
Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app