dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,847
- 3,149
Nadhani financer kafanya makusudi hili asiwe involved kirahisiDili likishakuwa na Watu wengi lazima huko mbeleni mambo yaharibike tuu.
Hapo kwenye utekelezaji wa mauaji wangepaswa wasizidi Watu watatu
Ila akiwa mtu mmoja ndio mchezo unakuwa salama zaidi
Karama ndo alikuwa anajua nani alietoa hela za kumaliza mchezooo so asingebaki salamaa...!!ni Msomali waliokuja Tanzania zamani huyu ni kizazi cha tatu . yes ana kibanda cha chips stand Kuu ya Arusha walifukuzwa wenye vibanda na manispaa kwa kuwa yeye ni mwanchama Hai wa ccm akapambana mpaka akabaki stand kuu lakini akiwa sasa amehamishia biashara yake ya chai na chips ghrofani ndani ya stand kuu.
jina lake maarufu ni Machips miaka mingi.
nashindwa kuelewa biashara ya ujangili wa meno ya tembo na Wasomali ina conection gani.
kuna ushahidi mwingi umefichwa baada ya mzungu kuuawa walichukuwa lap top na simu yake. kama ilivyoripotiwa wakati ule.
machips lazima kuna mtu alimpatia hiyo pesa 58M ambaye tunaambiwa ni mchina. atakuwa mchina fake.
Karama alidakwa lakini baadae akapotea...dada yake Rahma ambaye alihamisha silaha m kuzipeleka makaburini alisema Kaka yake Karama alivyochukuliwa na "watu wasio julikana" alihamisha silaha.
ndio maana watu wanahoji KARAMA YUKO WAPI?
Kigogo w Twitter huyoKarama ndo alikuwa anajua nani alietoa hela za kumaliza mchezooo so asingebaki salamaa...!!
Hata mama Yoyo!.Hapo trusted sources ndio wamemchoma.
Ndio maana i don't trust anyone.
Ikibidi na huyo mmoja Akisha maliza kazi yake nae auwaweTatizo ni chain kuwa kubwa sana lilikuwa swala la hitman mmoja tu getini mchezo unaisha, hawa wapuuzi wanaenda na IST, Bodaboda
Ndo shida ya hizo mission[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ikibidi na huyo mmoja Akisha maliza kazi yake nae auwawe
Na huyo makoi niyule alikua anauza duka la dawa pale mtaa wa majengo?ni Msomali waliokuja Tanzania zamani huyu ni kizazi cha tatu . yes ana kibanda cha chips stand Kuu ya Arusha walifukuzwa wenye vibanda na manispaa kwa kuwa yeye ni mwanchama Hai wa ccm akapambana mpaka akabaki stand kuu lakini akiwa sasa amehamishia biashara yake ya chai na chips ghrofani ndani ya stand kuu.
jina lake maarufu ni Machips miaka mingi.
nashindwa kuelewa biashara ya ujangili wa meno ya tembo na Wasomali ina conection gani.
kuna ushahidi mwingi umefichwa baada ya mzungu kuuawa walichukuwa lap top na simu yake. kama ilivyoripotiwa wakati ule.
machips lazima kuna mtu alimpatia hiyo pesa 58M ambaye tunaambiwa ni mchina. atakuwa mchina fake.
Karama alidakwa lakini baadae akapotea...dada yake Rahma ambaye alihamisha silaha m kuzipeleka makaburini alisema Kaka yake Karama alivyochukuliwa na "watu wasio julikana" alihamisha silaha.
ndio maana watu wanahoji KARAMA YUKO WAPI?
Hatra yeye. Pana fungua moyo.Hata mama Yoyo!.
Serikali hulinda hitmen wake kwa gharama yoyote.Ikibidi na huyo mmoja Akisha maliza kazi yake nae auwawe
Yaani ni hatarikatika watuhumiwa 22 ,hukumu iliyotolewa watuhumiwa 11 wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa akiwemo karama huku wengine wakiachiwa kuwa huru ,halafu kama unakumbuka kuna rubani mmoja alipotea huko tunduru na ndege ndogo mwaka Jana ni muendelezo WA kupoteza ushahidi Kwa sababu inasemekana baadhi ya mawaziri wapo kwenye hilo janga
Warundi hao1. Huo uchumguzi ulifanywa na polisi hapa hapa nchini au wakisaidiwa na kutoka nje?
2. Vipi kwenye ujangili kuna mkono wa kagame. Naona wahusika kuna akina habyaramana wengi
Wewe haushi Tz? Au ni ndugu na kin**a?. Watanzania sio wale wa zamani,nani asiyejua huyo ni mbaya sana kitambo tu?. Ujangili wake ni siri kwako tu,japo unajua unajifanya hujui.Kasema hivyo,umemuamini,na wewe unaenda yaeneza,unaenda mtia mtu ubaya huna hata uhakika
Hapo muuaji ni mmoja au wawili Tu. Wengine wanashtakiwa kwa kusaidia mauaji kufanyika. Iweje wapewe adhabu ya kunyongwa? Hebu wasomi tusaidieni Sisi tulio mbumbumbu wa sheria.
Hawana la kupoteza, either way watakufa tuKwamba huko deathrow ndo huwezi uawa na magereza?
Japo sikumaanisha ujangili nilimaanisha uhusika wake kwenye mauaji,lakini hata huo ujangili unaofahamika nchi nzima kitambo tu,wewe unauthobitisha vipi!?..maana una uhakikaWewe haushi Tz? Au ni ndugu na kin**a?. Watanzania sio wale wa zamani,nani asiyejua huyo ni mbaya sana kitambo tu?. Ujangili wake ni siri kwako tu,japo unajua unajifanya hujui.
Na huyo atakae muuwaa nae akimaliza kazi yake nae auwawe pia!!Ikibidi na huyo mmoja Akisha maliza kazi yake nae auwawe
Ndo channel yangu pendwa hiiAiseee
Hii story iende IDx
Huyu jamaa makoyi si alikuwa na duka la dawa karibu kabisa na stand kubwa Arusha, na alikuwa na magari Mazur tu kumbe nyuma yake kuna mambo alikuwa akifanya.leonard Makoi je nae hakuwa anajuana "vizuri" na machips?
Sio mtaa wa majengo alikuwa karibu kabisa na stand kubwa, hata mimi nilikuwa na duka mitaa hiyo, Dah namuonea huruma kijana wa watu maana bado umri mdogo tu uleNa huyo makoi niyule alikua anauza duka la dawa pale mtaa wa majengo?
Kama alishakufa?Kuna sehemu chain Imekatika sio ajabu Hawa wote kwenye death row hawamjui financier ambaye Ni MTU maarufu na mwenye pesa zake.
All in all, hata yeye siku si nyingi atakufa. Trust KARMA.