Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Nyarandu alimgaragaza Lisu ndani ya kamati kuu ya chama2020 Lissu alimgagaraza huyu mungu wenu ikabidi tiss na polisi wamsaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyarandu alimgaragaza Lisu ndani ya kamati kuu ya chama2020 Lissu alimgagaraza huyu mungu wenu ikabidi tiss na polisi wamsaidie
Tuwaulize huko Ccm . Mnasemaje , anaufuata ?!Wa sasa anafuata katiba?
Sisi tunasema anafuata maana hata wenzetu wa upande wa pili wanafuraha sana. Hasa baada ya mbaya wao kufariki wana furaha mno.Tuwaulize huko Ccm . Mnasemaje , anaufuata ?!
Sasa ulihoji nini kwenye hoja yangu ya kwanza kama ni hivyo ?!.Sisi tunasema anafuata maana hata wenzetu wa upande wa pili wanafuraha sana. Hasa baada ya mbaya wao kufariki wana furaha mno.
Hele zimeajaa mifukoni, kodi ipo chini sana, vitu bei ya chini. Kifupi maisha ni mazuri bila shaka mama 2025 atapita bila kupingwa
ma imekufa jomba hata viongozi wa chadema wanajua hilo
Mkuu tuko vizuri sana!Sasa ulihoji nini kwenye hoja yangu ya kwanza kama ni hivyo ?!.
Wekezeni kwenye fikra si kukurupuka
Yamezidi kushamiri vipi wakati adui yetu na mbaya wetu amekufa?Hayo ndio matamanio yako na ya kila mwanaccm. Cdm imekufa lakini matumizi ya vyombo vya dola dhidi ya Cdm ili kuibeba ccm ndio yamezidi kushamiri!
Ameharibu nini zaidi ya kuwatia adabu fisadi wezi wa mali ya umma na wakwepa kodi. Unachoona wewe ni jamaa zako kusweka lupango na kutemeshwa vya dhuluma. Huoni miradi ya ujenzi afya elimu etc itakayokua na faida kubwa kwa umma. Unaona tu singa na ruge kusweka ndani kwa uhuni ule wa iptl. Huoni matendo ya magaidi wa rufiji ila unaona kuangamizwa kwao tu.Magufuli ni SHETANI aliyekuwa kwenye mwili wa Binadamu. Mungu amefurusha kwa vile alikuwa anaharibu nchi yetu kwa kasi ya 5G
Yamezidi kushamiri vipi wakati adui yetu na mbaya wetu amekufa?
Sasa hivi tuko vizuri sana na utawala wa mama!
Wengi tu
Maneno ya Khanga Tu hayalakini bado anakunyandua mpaka sasa.
Maneno ya Khanga Tu haya
Zee lenu Shetani lile litakuwa Motoni Kwa sasa
Yupo Kuzimu Kwa SASA, Simple as thataliwaumiza kihisia mpaka kimwili.
yaani mpaka mmekuwa miungu wa kuchagua magufulia atakuwa wapi saa hizi.
pole kwa maumivu mkuu.
Tena mjinga kweri kweri!Kama unaamini hivyo hakika wewe ni mjinga😌
Yupo Kuzimu Kwa SASA, Simple as that
Wala nyerere humjui ndio maana unaropoka ovyo.Nikisikia mtu anamlinganisha Jiwe na Nyerere,napata kichefuchefu,nataka kutapika,Kitu limeongoza kwa miaka mitano,lakini,limeua,limebagua watu kikabila,limeharibu biashara za watu,
Kitu lilifikia kutoa hotuba kwenye vyombo vya umma kwa kutumia lugha ya kabila lake!!!!?kisukuma!!
Sasa hebu fikiria lingeongoza kwa miaka 10 ingekuwaje.
Without fear of contradiction,Jiwe alikuwa shetani,tatizo,kikwazo na bahati mbaya sana kwa nchi yetu,kwa muda aliokuwepo ameharibu nchi kabisa.
Nyie mnaomlinganisha na Nyerere,Nyerere alikuwa Mwalimu tu,lakini alikuwa na uwezo wa kuchambua mambo ya Dunia kwa ufasaha,alizimidu Lugha za kimataifa na kiswahili vzr.
Lile jiwe lenu,na PHD yake ya kimagumashi,hata kiswahili lilikuwa haliwezi kuongea vzr,Kizungu ndio kabisaa,
Wazungu mnawaita mabeberu lakini ndio wanaowaingizia pesa nyingi kupitia utalii.
Raisi wa Kenya,amealikwa Whitehouse US,jiwe angeweza kwenda kuongea na Raisi wa Dunia?!!yeye alikuwa anaweza kufokea mawaziri wake basi.
We are better off without that kind of personality
Mabeberu ndio hawa wanaotupa chanjo, mikopo ya Chanjo, Stigler na SGR?
Mabeberu ndio hawa waliotoa mikopo kujenga madarasa na vituo vya afya?
Kwani na wewe alikuumiza? Maana waliyoumia ni wale fisadi vyeti feki. Wale wala rushwa wauza madawa ya kulevya na wazembe..hao ndio wana sababu kumchukia.Mwache Hayati apimzike.
Nyinyi ndio mnawachokoza walioumizwa na utawala mbaya wa kidikteta wa Hayati Magufuli wanaanza kimsema vibaya marehemu.
Sijui kwa nini watu wengine hamuwezagi kunyamaza kuficha ujinga wenu!