Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi zenye mwelekeo wa kijamaa zinamtukuza mtu kuliko Mungu. Tena zinatawaliwa kibabe na udikteta ni sifa yao kuu.Ghana ingeendelea kutawaliwa na Nkurumah ingekuwa nchi ya hovyo mpaka leo. Ghana imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo na demokrasia tangu kuondolewa kwa huyu dikteta uchwara aliyekuwa analazimisha ujamaa uchwara.
Demon na mama ni kitu kimoja sasa swali kwanini mnajitambulisha kuwa kitu kimoja na demon wekeni wazi kuwa mpo kinyume na magufuli tuoneMagufuli alikuwa ni Demon.
SA100 na MAGUFULI NI KITU KIMOJA ,UNABISHA?kama unabisha tingisha tako tukuoneWanaomkumbuka ni akina nani? Tuache kumkumbuka Nyerere tumkumbe Dhalimu? Umerogwa au? Unaweza mkumbuka huyu? [emoji116]
View attachment 1978452
View attachment 1978453
Amka usingizini ndugu.Machinga wenyewe wameshaelewa.HahaaDemon na mama ni kitu kimoja
Kwahiyo !!!! maana magu alikuwa vizuri sana kuwa sisi tiza watz kumwabudu mungu hata kwa kovidiNchi zenye mwelekeo wa kijamaa zinamtukuza mtu kuliko Mungu. Tena zinatawaliwa kibabe na udikteta ni sifa yao kuu.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Chadema imekufa jomba hata viongozi wa chadema wanajua hiloKama Magufuli alimshinda Lisu kwa kura aizoshuritisha atangazwe nazo, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama matokeo ya uchaguzi ule bado yapo. Toka wakati wa kampeni hadi kufikia mauti yake, Magufuli hakuwahi kupata furaha tena, maana aliona ukweli uliomuumiza. Idadi ya watu aliopata Lisu na matarajio yake yalikuwa tofauti, ndio maana akaagiza ccm watangazwe kwa shuruti. Huu ni ukweli unaomuumiza kila mwanaccm. Hivi leo ccm imegeuka kuwa chama kinachotegemea nguvu za dola tu maana kimeshapoteza ushawishi kwa umma, ndio maana haiko kuruhusu Cdm tayari ifanye mikutano ya kukutana na wananchi, kwani wanajua Cdm ndio inavyokubalika na wananchi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]choko Lissu2020 Lissu alimgagaraza huyu mungu wenu ikabidi tiss na polisi wamsaidie
Sio kila mtu ana matako kama mama yako,kaone kwa mama yako anapotingisha.SA100 na MAGUFULI NI KITU KIMOJA ,UNABISHA?kama unabisha tingisha tako tukuone
Kama unayo sema ni kweli basi wagombea wa ubunge wa ccm na upinzani wakigombea watangaze kuwa wao wanamp8nga magufuli tuone kama watakubalikaKura siyo kipimo cha ubinadamu. Isitoshe Magufuli alikuwa hakubaliki hata kwa 30% mwaka jana. Laiti angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wote wa 2020
Ujanielewa wanampinga magufuli huku wanajidai ni kitu kimoja kwanini wasiseme wazi wazi kuwa wao wapo kinyume cha magufuli wanaogopa niniAmka usingizini ndugu.Machinga wenyewe wameshaelewa.Hahaa
Kwahiyo sasa hivi nchi yenu iko vizuri?Magufuli ni SHETANI aliyekuwa kwenye mwili wa Binadamu. Mungu amefurusha kwa vile alikuwa anaharibu nchi yetu kwa kasi ya 5G
Wa sasa anafuata katiba?Huna lolote wewe. Kwanza uandishi wako wa drs la tatu. Majina & nchi ya watu kwa herufi ndogo ?!!. Rudi kwanza MEMKWA
Pili huyu unaemtukuza alikuwa na mapungufu kibao, japo pia kuna kazi amezifanya . So muache Rais wa sasa afanye kazi zake kwa kipaji chake , na ueledi wake. Usimlazimishe kuishi kwenye kivuli cha aliyepita, ambaye ni failure wa haki za binadaamu na asiyefuata katiba.
Mwishoni utamkubali tu!Upande wa umeme nako alifanikiwa sn, mengi yote yalikuwa ni ya hovyo sn
Shetani mama yako mzazi aliyekuzaaMagufuli ni SHETANI aliyekuwa kwenye mwili wa Binadamu. Mungu amefurusha kwa vile alikuwa anaharibu nchi yetu kwa kasi ya 5G
Naona sasa hivi mnapumuaMagufuli alikuwa ni Demon.
Lione hili nalo lilivyotaahira!Nikisikia mtu anamlinganisha Jiwe na Nyerere,napata kichefuchefu,nataka kutapika,Kitu limeongoza kwa miaka mitano,lakini,limeua,limebagua watu kikabila,limeharibu biashara za watu,
Kitu lilifikia kutoa hotuba kwenye vyombo vya umma kwa kutumia lugha ya kabila lake!!!!?kisukuma!!
Sasa hebu fikiria lingeongoza kwa miaka 10 ingekuwaje.
Without fear of contradiction,Jiwe alikuwa shetani,tatizo,kikwazo na bahati mbaya sana kwa nchi yetu,kwa muda aliokuwepo ameharibu nchi kabisa.
Nyie mnaomlinganisha na Nyerere,Nyerere alikuwa Mwalimu tu,lakini alikuwa na uwezo wa kuchambua mambo ya Dunia kwa ufasaha,alizimidu Lugha za kimataifa na kiswahili vzr.
Lile jiwe lenu,na PHD yake ya kimagumashi,hata kiswahili lilikuwa haliwezi kuongea vzr,Kizungu ndio kabisaa,
Wazungu mnawaita mabeberu lakini ndio wanaowaingizia pesa nyingi kupitia utalii.
Raisi wa Kenya,amealikwa Whitehouse US,jiwe angeweza kwenda kuongea na Raisi wa Dunia?!!yeye alikuwa anaweza kufokea mawaziri wake basi.
We are better off without that kind of personality