Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

ninyi ndo mlikuwa mapunga wa magufuli, muwasho ushawaanza. Tafuta bwana mwingine. Bwana ako alishakufa.
Unafurahi unafikiri utaanza upya kuuza mihadarati? Nyie ndio jk alisema mjaribu ujinga 😂😂😂😂😂
 
Ghana ingeendelea kutawaliwa na Nkurumah ingekuwa nchi ya hovyo mpaka leo. Ghana imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo na demokrasia tangu kuondolewa kwa huyu dikteta uchwara aliyekuwa analazimisha ujamaa uchwara.
Nchi zenye mwelekeo wa kijamaa zinamtukuza mtu kuliko Mungu. Tena zinatawaliwa kibabe na udikteta ni sifa yao kuu.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kama Magufuli alimshinda Lisu kwa kura aizoshuritisha atangazwe nazo, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama matokeo ya uchaguzi ule bado yapo. Toka wakati wa kampeni hadi kufikia mauti yake, Magufuli hakuwahi kupata furaha tena, maana aliona ukweli uliomuumiza. Idadi ya watu aliopata Lisu na matarajio yake yalikuwa tofauti, ndio maana akaagiza ccm watangazwe kwa shuruti. Huu ni ukweli unaomuumiza kila mwanaccm. Hivi leo ccm imegeuka kuwa chama kinachotegemea nguvu za dola tu maana kimeshapoteza ushawishi kwa umma, ndio maana haiko kuruhusu Cdm tayari ifanye mikutano ya kukutana na wananchi, kwani wanajua Cdm ndio inavyokubalika na wananchi.
Chadema imekufa jomba hata viongozi wa chadema wanajua hilo
 
Kura siyo kipimo cha ubinadamu. Isitoshe Magufuli alikuwa hakubaliki hata kwa 30% mwaka jana. Laiti angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wote wa 2020
Kama unayo sema ni kweli basi wagombea wa ubunge wa ccm na upinzani wakigombea watangaze kuwa wao wanamp8nga magufuli tuone kama watakubalika
 
Amka usingizini ndugu.Machinga wenyewe wameshaelewa.Hahaa
Ujanielewa wanampinga magufuli huku wanajidai ni kitu kimoja kwanini wasiseme wazi wazi kuwa wao wapo kinyume cha magufuli wanaogopa nini
 
Hayati alikukosea nini mwandishi tumwache apumzike kwa amani nyakati za teuzi za kusifiia zimekwisha.
 
Huna lolote wewe. Kwanza uandishi wako wa drs la tatu. Majina & nchi ya watu kwa herufi ndogo ?!!. Rudi kwanza MEMKWA

Pili huyu unaemtukuza alikuwa na mapungufu kibao, japo pia kuna kazi amezifanya . So muache Rais wa sasa afanye kazi zake kwa kipaji chake , na ueledi wake. Usimlazimishe kuishi kwenye kivuli cha aliyepita, ambaye ni failure wa haki za binadaamu na asiyefuata katiba.
Wa sasa anafuata katiba?
 
Upande wa umeme nako alifanikiwa sn, mengi yote yalikuwa ni ya hovyo sn
Mwishoni utamkubali tu!

Muda ni mwalimu mzuri sana.

Muulize katibu mkuu wako bwana mnyika aliwahi kumuita jk ni rais dhaifu tena bungeni ila baadae alipiga magoti kutubu
 
Nikisikia mtu anamlinganisha Jiwe na Nyerere,napata kichefuchefu,nataka kutapika,Kitu limeongoza kwa miaka mitano,lakini,limeua,limebagua watu kikabila,limeharibu biashara za watu,
Kitu lilifikia kutoa hotuba kwenye vyombo vya umma kwa kutumia lugha ya kabila lake!!!!?kisukuma!!
Sasa hebu fikiria lingeongoza kwa miaka 10 ingekuwaje.
Without fear of contradiction,Jiwe alikuwa shetani,tatizo,kikwazo na bahati mbaya sana kwa nchi yetu,kwa muda aliokuwepo ameharibu nchi kabisa.
Nyie mnaomlinganisha na Nyerere,Nyerere alikuwa Mwalimu tu,lakini alikuwa na uwezo wa kuchambua mambo ya Dunia kwa ufasaha,alizimidu Lugha za kimataifa na kiswahili vzr.
Lile jiwe lenu,na PHD yake ya kimagumashi,hata kiswahili lilikuwa haliwezi kuongea vzr,Kizungu ndio kabisaa,
Wazungu mnawaita mabeberu lakini ndio wanaowaingizia pesa nyingi kupitia utalii.
Raisi wa Kenya,amealikwa Whitehouse US,jiwe angeweza kwenda kuongea na Raisi wa Dunia?!!yeye alikuwa anaweza kufokea mawaziri wake basi.
We are better off without that kind of personality
Lione hili nalo lilivyotaahira!

Wapi Magufuli aliwahi kuhutubia kwa kisukuma?

Hivi nyie wachaga kwanini mkibanwa mnahisi mnaonewa?
 
Back
Top Bottom