Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Kulikuwa na uzi humu wa kinachoitwa Jamii ChagaDema Forum ulifungiwa Jana...huyu alikuwa akiwatuhumu mamods wa humu kuwa ni wachaga na Chadema...binafsi sikuzipenda tuhuma hizo...lakini binafsi nashangaa kwanini huwa hawachukui hatua dhidi ya wale wanaoandika kinachoitwa Sukuma gang...kwa hakika huu ni ubaguzi na wanapanda mbegu ya chuki kwenye Jamii yetu...
Chagadema wametema nyongo sana kwenye huu uzi. Wanaamini eti kufa magufuli ndio kufa umagufuli.. wanajidanganya. 😂😂 Na yule askofu wao .'. eti mama tutibu vidonda' 🤣🤣🤣
 
Magufuli ni WA watanzania

Ameharibu nini zaidi ya kuwatia adabu fisadi wezi wa mali ya umma na wakwepa kodi. Unachoona wewe ni jamaa zako kusweka lupango na kutemeshwa vya dhuluma. Huoni miradi ya ujenzi afya elimu etc itakayokua na faida kubwa kwa umma. Unaona tu singa na ruge kusweka ndani kwa uhuni ule wa iptl. Huoni matendo ya magaidi wa rufiji ila unaona kuangamizwa kwao tu.
Uyo Jamaa yenu alikua Muuwaji hii ndio shida kubwa
 
Unadhani Tukisema Magufuli alikuwa kiongozi muovu hatuelewi au unadhani tumeambiwa na wazungu? Kwanza mzungu gani alikuwa anamjua Magufuli? Kama unamsifia msifie kimpango wako lakini sisi wengine tunajua alikuwa kiongozi muovu, na ushahidi tunao. Ww kaa piga propaganda mfu hapa jukwaani ukidhani tulikuwa hatumjua au unadhani ni mpaka mtu atuambie.
Anatuona sisi mafala jamaa alikuwa limbukeni alilimbukia madaraka
 
Hata alipokuwapo ulikuwa ukisema hivyo hivyo ? 😁😁
Mjinga tu na mwenye chuki. Mtu ameongoza na kusimamia ujenzi wa barabara za lami kwa ufanisi mkubwa nchi nzima akiwa waziri wa ujenzi takriban miaka 20. Kwa kua tu kakuzibia line ya upigaji au kuuza bangi ndio unasema hafai hata kuongoza kijiji. Halafu kuna majuha wanashangilia 🤸🤸🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Lione hili nalo lilivyotaahira!

Wapi Magufuli aliwahi kuhutubia kwa kisukuma?

Hivi nyie wachaga kwanini mkibanwa mnahisi mnaonewa?
Maranyingi akiwa Kanda ya ziwe amehutubia kisukuma usiwaseme wachaga hawana neno ila sisi tulimuona na kushuhudia
Ukabila ule ufe na usijirudie tena
 
Sisi tunasema anafuata maana hata wenzetu wa upande wa pili wanafuraha sana. Hasa baada ya mbaya wao kufariki wana furaha mno.

Hele zimeajaa mifukoni, kodi ipo chini sana, vitu bei ya chini. Kifupi maisha ni mazuri bila shaka mama 2025 atapita bila kupingwa
Maisha ni Mazuri sana FDI, FCI, ID zimeongeka sana
 
Jambazi hatakiwi kubembelezwa. Ni haki yake kuuwawa chap!
Wale mliowatupa mto rufiji kwenye viroba ni majambazi shida nnapenda kuuwa mmezoea ndo mana matukio ya mauaji Kanda ya ziwe inaongoza
 
Laiti mngempenda kwa dhati kama mnavyojatibu kutuhadaa mngemshauri asiishi kama demon, hence hofu yenu sasa kuwa kuna wanaom-demonise. Kwanini hamjawahi kujiuliza kuwa Nyerere alipofariki takriban kila Mtanzania alilia kwa uchungu ilhali kifo cha Magufuli kilipokelewa kwa shangwe na watu wengi tu?

Hakuna anayem-demonise Mwendazake bali he lived as a demon. Badala ya ninyi wanafiki kuendelea kutumia nguvu kubwa kumsafisha ingekuwa vema mkajikita kwenye sala/dua ili asifanywe kuni za kuchochea moto wa wenye dhambi huko ahera.
Huenda nyerere akifa ulikua mchanga hujui jitihada iliyofanyika kumchafua ili mawazo yake yasiheshimiwe. Mmowapo ni huyo kibaraka lissu. Kumbukumbu zipo bungeni. Kama hujui nyerere ndio alitaifisha viwanda na majumba ya wahindi. Ndio fundi mchundo wa azimio la arusha, ndiye aliyehamisha watanzania kuwaweka kwenye vijiji. Magufuli kafanya cha mtoto tu kuwagusa wabinafsi na waroho na fisadi. Sasa magufuli ndio kakugusa usijidai kulinganisha magufuli na nyerere maana humjui nyerere.
 
Wale mliowatupa mto rufiji kwenye viroba ni majambazi shida nnapenda kuuwa mmezoea ndo mana matukio ya mauaji Kanda ya ziwe inaongoza
Nitajie jina na mahali anapotoka hata mmoja kati ya wale waliokutwa kwenye viroba.
Tatizo mnakariri kila nyimbo km kasuku!
 
Huenda nyerere akifa ulikua mchanga hujui jitihada iliyofanyika kumchafua ili mawazo yake yasiheshimiwe. Mmowapo ni huyo kibaraka lissu. Kumbukumbu zipo bungeni. Kama hujui nyerere ndio alitaifisha viwanda na majumba ya wahindi. Ndio fundi mchundo wa azimio la arusha, ndiye aliyehamisha watanzania kuwaweka kwenye vijiji. Magufuli kafanya cha mtoto tu kuwagusa wabinafsi na waroho na fisadi. Sasa magufuli ndio kakugusa usijidai kulinganisha magufuli na nyerere maana humjui nyerere.
Hawa ni wakuwaonea huruma. Wamezoea na wanapenda utumwa.
Hawamjui Nyerere na wala hawajui wapuuzi walivyopambana kuwaaminisha watu kuwa nyerere alikuwa hafai. Kwa mfano mchache ni Mtikila na shoga yao Lissu.
Hapo hapo anakuambia eti Magufuli km angependwa watu wangemlilia km Nyerere. Inamaana hakushuhudia msiba wa hayati Magufuli? Au ndio kujitoa akili?
 
Ya
Yamezidi kushamiri vipi wakati adui yetu na mbaya wetu amekufa?

Sasa hivi tuko vizuri sana na utawala wa mama!

Kwani huyu aliyepo ni rafiki yetu, au ana afadhali tu kuliko lile dubwasha lako
Lione hili nalo lilivyotaahira!

Wapi Magufuli aliwahi kuhutubia kwa kisukuma?

Hivi nyie wachaga kwanini mkibanwa mnahisi mnaonewa?
Unatetea mambo ya wazi mpaka unaonekana juha.
 
Kama unayo sema ni kweli basi wagombea wa ubunge wa ccm na upinzani wakigombea watangaze kuwa wao wanamp8nga magufuli tuone kama watakubalika
Wewe lwiva unahitaji tiba ili pepo la Magufuli likutoke kichwani
 
Kwahiyo sasa hivi nchi yenu iko vizuri?
Kwa kweli Nchi bila Magufuli iko vizuri sana. Hakuna anayeshikwa kwa maoni, hakuna mwenye wasiwasi kutekwa na WASIOJULIKANA, wafanyabiashara wanaendelea na biashara bila task force.

Mazuri mengi yanakuja, ila Mama Samia anaupiga mwingi. Kama hutaki njoo niue niko Ubungo Maziwa
 
Back
Top Bottom