Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Mabeberu ndio hawa wanaotupa chanjo, mikopo ya Chanjo, Stigler na SGR?

Mabeberu ndio hawa waliotoa mikopo kujenga madarasa na vituo vya afya?
Watanzania kama wewe akilizenu kama mavi ya matoto mchanga yasiyo nuka hivi una fikilia kupewa chanjo nihitaji letu sisi kama watz mkopo waleli hatuku hitaji nchihii nitajili sana wenye kujuwa haya niwachache kwahawa viongoz wasasa beberu alisha pola mpaka akili zao hawajuwi kama tz nitajili jpm atazidi kukumbukwa
 
Wanaomkumbuka ni akina nani? Tuache kumkumbuka Nyerere tumkumbe Dhalimu? Umerogwa au? Unaweza mkumbuka huyu? 👇



 
Mwache Hayati apimzike.

Nyinyi ndio mnawachokoza walioumizwa na utawala mbaya wa kidikteta wa Hayati Magufuli wanaanza kimsema vibaya marehemu.

Sijui kwa nini watu wengine hamuwezagi kunyamaza kuficha ujinga wenu!
 

Nyerere alikuwa na ujumbe mahsusi kwako:

Mwalimu Nyerere aliipenda nchi siyo CCM
 
Rudi kwanza darasani ukajifunze kuandika vizuri kabla ya kuendelea na yowe zako za kipuuzi za mabeberu.
 
Rudi kwanza darasani ukajifunze kuandika vizuri kabla ya kuendelea na yowe zako za kipuuzi za mabeberu.
Huja erewa nini kasomeshe mkeo ajuwe namna yakuku andikia balua ya mahaba
 
Kama unampenda mtu alieoza ujue wewe una tatizo kichwani.

Magufuli hana nafasi tena ktk dunia ya walio hai,acha kuabudu mizimu!

Marehemu hana uwezo ata wa kugombea ukatibu kata,ukimuweka Magu agombee ukatibu kata na mbwa alie hai,mbwa atashinda.
 
Rudi shule Mkuu maana si kwa kuandika huko!
 
Uongozi mkuu ni kupeana VIJITI....

Leo mh.Rais SSH amewasimamisha dakika moja wanalongido kumkumbuka hayati JPM kwa kuwapelekea mradi mkubwa wa MAJI......

HASTA LA VICTORIA EL COMMANDANTE JPM ,aaamin🙏

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA ,aaamin aaaamin aaaaamin aaaaamin🙏

#KAZI INAENDELEA KWA KASI &WELEDI ZAIDI
 
Mabeberu ndio waliomuwekea Magofool betri kwenye moyo ili asife mapema.

Pia usimfananishe Kwame Nkurumah na huo uchafu wa Chato.
Uchafu ulipatika kwa dingi yako wakati wana kusaka wewe wakishilikiana na meme yako
 
Upo sawa lakin ant Magu watakuja kwa speed wakiwemo baadhi ya wannachadema na baadhi ya wanaccm waliokuwa wachumia matumbo, Hongera Sana , Aluta continue dhidi ya watu wanaohodhi Mali za wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…