Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Ha ha ha ha ha Sasa.... Huko Mataga na Sukuma Gang hawakuwafundisha kuweka paragrafu?
Kulikuwa na uzi humu wa kinachoitwa Jamii ChagaDema Forum ulifungiwa Jana...huyu alikuwa akiwatuhumu mamods wa humu kuwa ni wachaga na Chadema...binafsi sikuzipenda tuhuma hizo...lakini binafsi nashangaa kwanini huwa hawachukui hatua dhidi ya wale wanaoandika kinachoitwa Sukuma gang...kwa hakika huu ni ubaguzi na wanapanda mbegu ya chuki kwenye Jamii yetu...
 
Kulikuwa na uzi humu wa kinachoitwa Jamii ChagaDema Forum ulifungiwa Jana...huyu alikuwa akiwatuhumu mamods wa humu kuwa ni wachaga na Chadema...binafsi sikuzipenda tuhuma hizo...lakini binafsi nashangaa kwanini huwa hawachukui hatua dhidi ya wale wanaoandika kinachoitwa Sukuma gang...kwa hakika huu ni ubaguzi na wanapanda mbegu ya chuki kwenye Jamii yetu...
Kwa nini Sukuma GANG mnalazimisha nchi ipasuke hii. Magufuli aliwadanganya kama mnajiona mna umuhimu sana kwenye hili Taifa, nyinyi ni majambazi tu mliokuwa mnatumwa na Magufuli kufanya unyang’anyi , kutesa na Kuua watanzania. Tabia za Kirundi au nyie ni Warundi mliojificha kwenye Usukuma ili kuuwa watanzania.
 
Nchi za kibeberu na vibaraka wao wana tabia ya kuwazushia viongozi wanamapinduzi ubaya waonekane wabaya kama shetani.

Walipofanikiwa kumpindua Kwame Nkurumah wa Ghana walimzushia uongo mwingi hadi ikawa kisiasa ghana huwezi kufanikiwa kwa kuunga mkono siasa na sera za Nkrumah. Kutokana na propaganda za magharibi ikawa kama aibu mtu kuunga mkuno sera za ukombozi afrika na uchumi wa kijamaa. Waghana hadi leo hawampi nkurumah anayeheshimika Afrika nzima heshima anayostahili. Uwanja wa ndege wa kimataifa accra hadi leo unabeba jina la kotoko mtu aliyempindua Nkrumah.

Hata nchini guenea ni hivi karibuni tu kumeanza wimbi kuwaelimisha vijana na taifa Sekou Toure alikua kiongozi wa namna gani kwa waguenea na Afrika. Huyu naye alikua mwanamapinduzi ila ubeberu wamemchafua ili waguenea wasifuate mawazo yake.

Kwa nchi yetu ni tofauti kutokana na umoja na mwamko mzuri wa kisiasa wa wananchi. Licha ya kazi kubwa ya wapinga maendeleo wakiongozwa na ubeberu wameshindwa kumchafua Nyerere. Watanzania wanamkumbuka na kutaka dira yake ifuatwe. Hakuna mwanasiasa anaweza kufanikiwa tanzania kwa kumchafua Nyerere.

Tuliona baadhi ya viongozi wa Chadema wakitumika kuchafua jina na heshima ya nyerere hadi bungeni mmojawapo akiwa antipass lissu. Baada ya kuona wanajichafua kwa kujaribu kumchafua Nyerere wakageuza mbinu. Sasa wanajidai kumnukuu kila wakati nyerere ila kwa kupotosha kauli zake.

Magufuli amelinganishwa na nyerere kwa kutetea kwa nguvu maslahi ya umma kwenye uongozi wake. Tangu aitwe na mola wake tumeshuhudia furaha kwa wapinga maendeleo. Wamediriki hadi kumsifia mama kama mwokozi wa taifa dhidi ya uongozi uliyopita wa Magufuli. Juzi tu tumemsikia askofu mmoja akimtaka mama kutibu majeraha taifa.

Wanamapinduzi tunajua wenye majeraha ya magufuli ni fisadi na wazembe. Wale waliyojaribu kuiba mali au mashirika ya umma, wale waliyokua wamejimilikisha kinyemela mali za chama chao cha CCM, wale waliyokua wanashirikiana na barrick kuona madini ya nchi yanaibiwa makontena na makontena kwa kupewa ujira.

Sasa anatokea askofu eti mama ponya majeraha. Majeraha ya fisadi. Ina maana awarejeshe kwenye kudhulumu umma.
Tunamtahadharisha mama awe macho kukumbatiwa na watu waovu ambao wanategemea kuibia umma na kujitajirisha binafsi huku umma wa wananchi ukiendelea kufukarika.

Ni jambo la kutia moyo kuona jinsi wananchi wa tanzania wanavyomkumbuka magufuli. Ni hatari kwa kiongozi yeyote kutaka kufuata sera za kuwanufaisha wachache kwa gharama ya umma. Kimsingi CCM ni chama cha kulinda na kuendeleza maslahi ya umma. Wakifanya tofauti watapigwa chini.

Kumlinganisha Nyerere na Magufuli, ni sawa na kulinganisha mlima Everest na tuta la viazi. Labda humfahamu Nyerere. Tafuta CV yake uisome.

Magufuli na Nyerere wanafanana kwenye mambo mawili tu - wote ni binadamu, na wote wamefariki, japo hisia ya vifo vyao kwa umma zilikuwa tofauti sana. Wakati Mwalimu, kifo chake kilileta simanzi kwa kila mtu, kifo cha Magufuli, kwa baadhi kiiwapa unafuu. Waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na madawa ya kulevua, waliweza kuachiwa. Waliokuwa na hofu ya kutekwa, kuuawa au kupotezwa, wana uhakika wa usalama wao kwa kiasi kikubwa, wasiojulikana hawasikiki sana kama wakati wa utawala wa Magufuli. Wafanyabiashara walioamua kuhama Tanzania kutokana na kunyamg'anywa pesa zao halali na Magufuli, wameanza kurudi na kufanya uwekezaji.

Ukiwatazama hawa wawili:

Mmoja ni tunda la Roho Mtakatifa maana ndani yake kulikuwa na Roho wa Mungu.

Mmoja alikuwa wakala wa shetani. Ndani yake iliishi Roho ya uharibifu, roho ya shetani ambayo kazi kubwa ilikiwa ni kuwatesa, kuwaua, kuwapoteza na kuwahadaa Watanzania kwa namna ya ajabu, sawa na alivyo ibilisi ambaye ni mfalme wa hila na uwongo.
 
Huja erewa nini kasomeshe mkeo ajuwe namna yakuku andikia balua ya mahaba

😁😁

IMG_20211018_151514_922.jpg


Cc: Yoda
 
Kumlinganisha Nyerere na Magufuli, ni sawa na kulinganisha mlima Everest na tuta la viazi. Labda humfahamu Nyerere. Tafuta CV yake uisome.

Magufuli na Nyerere wanafanana kwenye mambo mawili tu - wote ni binadamu, na wote wamefariki, japo hisia ya vifo vyao kwa umma zilikuwa tofauti sana. Wakati Mwalimu, kifo chake kilileta simanzi kwa kila mtu, kifo cha Magufuli, kwa baadhi kiiwapa unafuu. Waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na madawa ya kulevua, waliweza kuachiwa. Waliokuwa na hofu ya kutekwa, kuuawa au kupotezwa, wana uhakika wa usalama wao kwa kiasi kikubwa, wasiojulikana hawasikiki sana kama wakati wa utawala wa Magufuli. Wafanyabiashara walioamua kuhama Tanzania kutokana na kunyamg'anywa pesa zao halali na Magufuli, wameanza kurudi na kufanya uwekezaji.

Ukiwatazama hawa wawili:

Mmoja ni tunda la Roho Mtakatifa maana ndani yake kulikuwa na Roho wa Mungu.

Mmoja alikuwa wakala wa shetani. Ndani yake iliishi Roho ya uharibifu, roho ya shetani ambayo kazi kubwa ilikiwa ni kuwatesa, kuwaua, kuwapoteza na kuwahadaa Watanzania kwa namna ya ajabu, sawa na alivyo ibilisi ambaye ni mfalme wa hila na uwongo.
Umefafanua vema sana,mimi sijaelewa lengo la wao kutaka kumwinua Magufuli dhidi ya Nyerere.

What are they trying to achieve?

Vyovyote vile hawatafanikiwa maana historia ya Nyerere iko vizuri sana kwenye vitabu na duniani.
 
Kumlinganisha Nyerere na Magufuli, ni sawa na kulinganisha mlima Everest na tuta la viazi. Labda humfahamu Nyerere. Tafuta CV yake uisome.

Magufuli na Nyerere wanafanana kwenye mambo mawili tu - wote ni binadamu, na wote wamefariki, japo hisia ya vifo vyao kwa umma zilikuwa tofauti sana. Wakati Mwalimu, kifo chake kilileta simanzi kwa kila mtu, kifo cha Magufuli, kwa baadhi kiiwapa unafuu. Waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na madawa ya kulevua, waliweza kuachiwa. Waliokuwa na hofu ya kutekwa, kuuawa au kupotezwa, wana uhakika wa usalama wao kwa kiasi kikubwa, wasiojulikana hawasikiki sana kama wakati wa utawala wa Magufuli. Wafanyabiashara walioamua kuhama Tanzania kutokana na kunyamg'anywa pesa zao halali na Magufuli, wameanza kurudi na kufanya uwekezaji.

Ukiwatazama hawa wawili:

Mmoja ni tunda la Roho Mtakatifa maana ndani yake kulikuwa na Roho wa Mungu.

Mmoja alikuwa wakala wa shetani. Ndani yake iliishi Roho ya uharibifu, roho ya shetani ambayo kazi kubwa ilikiwa ni kuwatesa, kuwaua, kuwapoteza na kuwahadaa Watanzania kwa namna ya ajabu, sawa na alivyo ibilisi ambaye ni mfalme wa hila na uwongo.
Nyerere alikua mtanzania.
Magufuli alikua mrundi aliejificha kwenye Usukuma. Hawafanani hata walazimishe vipi.
 
Nafikili yule gaidi an juwa wapi alipo ben 8 Azry yule nimsanii kwa maana yale maigizo waliyo kuwa nayo
Hau jaerewa nini
Huja erewa nini kasomeshe mkeo ajuwe namna yakuku andikia balua ya mahaba
Naona Sukuma GANG imetuletea Warundi humu kutetea maiti yao. Sukuma GANG mtaaibika sana, Magufuli ni mrundi aliejificha kwenye Usukuma.
 
Kama ni shetani kwanini mnasema mimi na magufuli ni kitu kimoja kwanini msiseme waziwazi kuwa mnampinga magufuli ....sisi tunataka wanasiasa wote mnao mpinga magufuli muwe wazi kabisa tuone kama mtapata hata asilimia 10 ya kura
Acha ujinga wewe, unadhani waTz wote wanapenda upuuzi wa huyo mpuuzi wako? Uchaguzi wa 2020 ungekuwa fair hilo jamaa lako lisingetoboa hata 50% ya kura zote, kifupi Lissu alichukua zaidi 40%, 2025 mother anachukua kiulaini and hapo utakuwa mwisho wenu washamba wakubwa
 
Magufuli siyo tu hakustahili kuongoza taifa, wizara or taasisi nyingine yeyote, hakustahili hata kuongoza familia yake!
Mbwa mwitu wewe jpm myaka 20 wizara ya ujenzi bila tuhuma yoyote leo kibudu fulanitu una leta uzwazwa hapa uta umbuka bule kenge.
 
Mbwa mwitu wewe jpm myaka 20 wizara ya ujenzi bila tuhuma yoyote leo kibudu fulanitu una leta uzwazwa hapa uta umbuka bule kenge.
Kivuko cha Dar - Bagamoyo kaiba hela , mabilion. Nyumba za Serikali kagawa kwa familia yake na vimada wake.
Shujaa nchi hii ni Nyerere na Sokoine tu.
Magufuli ni mwizi na Muuaji.
Magufuli ni mrundi aliejificha kwenye Usukuma.
 
Mbwa mwitu wewe jpm myaka 20 wizara ya ujenzi bila tuhuma yoyote leo kibudu fulanitu una leta uzwazwa hapa uta umbuka bule kenge.
Pambafu, hiyo wizara ilikuwa inaendeshwa kwa propaganda na uongo uongo, alikuwa ni jizi mkubwa kwenye hiyo wizara, akaweka watu wake wa karibu kila sehemu ili uchafu wake usitoke nje! Magufuli=Sabaya (Tofauti yao mmoja alikuwa na madaraka makubwa), washamba wakubwa
 
Kivuko cha Dar - Bagamoyo kaiba hela , mabilion. Nyumba za Serikali kagawa kwa familia yake na vimada wake.
Shujaa nchi hii ni Nyerere na Sokoine tu.
Magufuli ni mwizi na Muuaji.
Magufuli ni mrundi aliejificha kwenye Usukuma.
And alipoona watu wanahoji kuhusu kivuko akakikabidhi jeshini and akapiga mkwara mali za jeshi hazihojiwi, alikuwa ni laghai na tapeli
 
Back
Top Bottom