Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Mbobezi hakuweza kuzuia katiba kuvunjwa????

Wasipomjibu utawafanya nini??

Jenga kwako

Nguvu ya JPM haina mpinzani ndani au nje

Sio vizuri kukosa upinzani ndani au nje, ila hawapo

Mwenzio anakanusha maneno yake umebaki gizani

Hana mpinzani au watu wanaogopa kufanyiziwa na lile kundi lake la watu wasiojulikana?
 
CCM hawamjibu kwa kuwa hawaoni umuhimu huo, kwa sasa wanajielekeza katika mchakato wa Uchanguzi kuliko kumjadili mtu na hoja zake.

CDM na wenzao wajipange vema maana kisikilizia tetesi kama hizi zinaweza kuwafanya wakabweteka katika mipango yao kumbe kuna drama.
 
Jiwe analijua fika hilo ndiyo maana kawaambia kutayarisha form moja tu, yaani muoga vibaya sana
 
Mruhusuni achukue basi hiyo form kama hatawagaragaza
Endeleeeni kumpa kichwa na fomu zenu za mitandaoni.

Mimi pia nimechukua fomu NHIF so mwacheni achukue ikiwa mnadhan kuchukua fomu ni tija. Ndipo mtajua mnashabikia ujinga
 
Jiwe analijua fika hilo ndiyo maana kawaambia kutayarisha form moja tu, yaani muoga vibaya sana
Wahuni watapindua mezaa walahiii...!! Hata kivulii hawawezi ruhusuu kishindane naee..
 
Kufuata Katiba ndiyo msingi Bora wa uongozi. Fikiria Marekani wasingekua na misingi imara ya uongozi Trump a
Kwanza najiuliza ilikuwaje Mkuu wa mkoa wa lindii..OCD na mkuu wa wilaya waliruhusuu ule mkutanoo wa Membe?????[emoji1787][emoji1787]
kwakua si Mtanzania?
 
Kufuata Katiba ndiyo msingi Bora wa uongozi. Fikiria Marekani wasingekua na misingi imara ya uongozi Trump a

kwakua si Mtanzania?
Unajidaii hujuii etiii??? Mzee baba hawezi ruhusuu kabisaa...
 
Hamna lolote
 
Yeye kasema kwamba katiba inasema "kiongozi yoyote mwenye ngazi ya juu" lazima Kamati kuu ya chama ijadili, sasa yeye alikuwa ngazi ya juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…