Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Asilimia kubwa sisi huwa tunajenga tu bila kujua tunapojenga pana asili ya nini........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manzese ndio balaa sasa yani mitalo ya maji taka kama yote.huko hapafai kuishi watu wanaojitambuaJe Manzese utasemaje?
Manzese uje utumbukie na Tandale mto wa ng'ombe kule ndio kabisaaa.M
Manzese ndio balaa sasa yani mitalo ya maji taka kama yote.huko hapafai kuishi watu wanaojitambua
Embu taja eneo la Mlamleni lililopo Dar es salaamMlamleni ni kama mwembe mtemvu,nusu Dar Temeke nusu Pwani.
Hatar sanaDaah, Mungu asaidie tu aisee.
Wizi mtupuIngia UNYAKUO TV - Mbagala mji wa wafu, Nabii Boniface Victor
Ameeleza yote hayo na tetemeko ambalo limetokea.
Ndio utajua ni WA UONGO au la!!
Tanzania hatuna wataalamu wanaoweza kupima chini ya ardhi, tukumbuke tukio la tope Kunduchi mpaka leo hakuna jibu mpaka leo, wataalamu wa Chuo Kikuu cha Ardhi waliingia mitini.Hii sijui ni tetemeko au ni kitu gani, wataalamu tunaomba mfuatilie na mtupatie majibu, Ardhi inapasuka na nyumba zinabomoka, eneo ni Saku Mwisho DSM
---
View attachment 3001336
Taharuki imeibuka kwa wakazi wa Mbagala Saku baada ya kutokea kwa mpasuko mkubwa wa ardhi na kusababisha kubomoka kwa nyumba nyingi za wakazi wa eneo hilo na kuacha nyingine zikiwa zimeathirika kwa kiasi kikubwa
Wakazi wa eneo hilo wameiomba serikali kwenda kufanya uchunguzi juu ya chanzo cha tatizo hilo na kugundua endapo ni salama kwa wao kuendelea kuishi katika eneo hilo pamoja na kuwapatia msaada kwa wale walio athiriwa zaidi na tatizo hilo
Ngojea nikirudi tena mkuu kuna kibango cha serikali nilikiona nitakipiga picha nikirushe humu.Embu taja eneo la Mlamleni lililopo Dar es salaam
Sasa ndio ujue ... Ukisikia Saku Kwa Baku ndio huko Sasa ...😂😂Duh, dar kubwa sana. Ndo mara ya kwanza nasikia hilo eneo mbagala saku