Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Mkuu phd holder utopolo gani huo? kuna wafiwa humu usilete mizaaSafi sana ndugu mpelelezi sasa kachunguze rushwa mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu phd holder utopolo gani huo? kuna wafiwa humu usilete mizaaSafi sana ndugu mpelelezi sasa kachunguze rushwa mbinguni
Ndio maana namuona Mkulu, hatoki chato,Wakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama
View attachment 1442868
....🙄🙄🙄....Atakuwa karogwa, wafanyakazi wa PCCB wanarogwa sana
I second you !!I feel sorry for my prime minister, it is now time for him to refrain from exposing to dangerous situations like that one, God have mercy for your servant
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio yeye ni ile remote control iliyojificha kule mafichoni chattle ndiyo inawaburuza hawa watendaji . Si unaona yanayoendelea huko Bungeni. Spika ananata na beat ya mpiga ngoma wa chattle.Huyu ndiye aliyepokea barua za misamaha ya wafungwa kisha akaruka barua ya Kabendera ili aendelee kuteseka lupango!Aende tu!
Kwa hiyo huyo anayepokea ripoti hapo kwenye picha sio PM?
Ushaambiwa tuliza kijambio au hujamuelewa huyo aliyekuagiza? Amekuambia tuliza kijambio.Ona, sasa we unatofauti gani na teja la barabarani, nonsensical rubbish
Nadhani kweli amemchanganya huyu Minyenya. Kama ametokea mikoani na hapo makao makuu ana muda mfupi sasa anahusikaje na kesi ya Kabendera?Mkuu Nina hakika taarifa ulizo nazo kuhusu huyo Minyenya sio sahihi! Nina fahamu kituo chake cha kazi kabla ya kupelekwa makao makuu na ninajua alihamishiwa makao makuu lini ndio maana nakwambia taarifa ulizo nazo sio sahihi kafuatilie vizuri kumuhusu huyo kiongozi!
Sent using kidole gumba
Huyu ndiye aliyepokea barua za misamaha ya wafungwa kisha akaruka barua ya Kabendera
Ndio mashetani wenyewe hao mkuu!
Watoto wa uswahilin watabeba wali kwenye mashati
Uende wapi? Hakuna nchi inawataka watanzania kwa sasakweli watu wanakatika wanazengo....mi nataka kuhama nchi sasa...