Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upuuzi wako wewe, usikimbilie kujibu kama huelewi!Labda yeye ndio carrier!
Yani anaewekwa kwenye risk ni yeye PM tu?
Mwafrika, acha kujifikiria na kujithaminisha kinyani nyani na kujishusha.
Kiongozi ni binadamu kama wewe, maisha yako ni just as worthy.
Ninachoshangaa marehemu wana historia ya kupiga nyungu lakini covid haiwaachi salama! Kifoo kifoo, kifo hakina huruma.
Mara paaap Mama anachukua kiti cha mfalme Daniel
Mwanachma mwenzetu wa k vant pale breaking point rest in peace kamanda!!tutamisi round zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nimeacha kabisa kupost HABARI Kama izi maana huwa Zina be Removed fasta.Hii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Mie nipo lockdown kwa wiki sita sasaWe UKO kitaaa
Jana nilicheka baada ya kuona unahukumiwa kwa kuleta habari za vifo nikajisemea tayali umekuwa IsraelHii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Kumbe unajijua unavyoleta habari zako za vifo na mapambio.....Hii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
ngoja yakukut ndio utatia akilia, ushaona lini wabunge watatu, wakuu wa wilaya 2 wanakufa ndai ya wiki mbili?Acheni uchawi nyie watu, kwani zamani watu walikuwa hawafi??!, yaani sasa hivi asife hata mlinzi, tayari Tanzia inaletwa tena mnaileta kwa bashasha as if ni sifa kuleta habari za Tanzia, acheni hizo bhana
Ufafanuzi blaza MshanaHii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]