TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

Mkuu tuna inside infoz kuwa alikuwemo kwenye timu ya kuhakiki barua za kuomba msamaha kwa wenye kesi za rushwa na uhujumu uchumi!Endelea kukaza shingo!
Waliofanya kazi na huyo jamaa wanamjua hakuwa mtu wa chenga chenga na alikuwa smart kwenye kazi, sio mtu wa kuonea awe mtumishi au mtuhumiwa, nenda kafuatilie mikoa aliyosimamia kama kiongozi wa mikoa hiyo utapata taarifa zake!
Sio busara mtu anapofariki na kuanza kumchafua!

Sent using kidole gumba
 
Mkuu Nina hakika taarifa ulizo nazo kuhusu huyo Minyenya sio sahihi! Nina fahamu kituo chake cha kazi kabla ya kupelekwa makao makuu na ninajua alihamishiwa makao makuu lini ndio maana nakwambia taarifa ulizo nazo sio sahihi kafuatilie vizuri kumuhusu huyo kiongozi!

Sent using kidole gumba
Mbona umeumia sana! Acha wadanje! Huwa wanajionaga mamwamba sana kwa u undercover wao.

Mortuary zimefurika jamani nao wahusike kuzijaza sio sisi tu!!
 
Mbona umeumia sana! Acha wadanje! Huwa wanajionaga mamwamba sana kwa u undercover wao.

Mortuary zimefurika jamani nao wahusike kuzijaza sio sisi tu!!
Kudanja ni sawa maana hiyo ni njia ya wote Ila tu kuna kutangulia so inshu pale mtu amekufa mtu mwingine anaanzisha propaganda kumchafua nadhani sio sawa

Sent using kidole gumba
 
Unapenda sifa za kipumbavu, jitathmini, vifo vya watu sio kete ya kujitafutia umaarufu, mnashindana na kupigana vikumbo kuwa wa kwanza kuketa Tanzia jukwaani, tena mnaileta bashasha as if kuna timu ya mpira imeshinda goli sijui, this is ridiculous!
Wanaodanganya na kuficha wanapata nini? Sisi ni sehemu ya Dunia na inatakiwa tuwe pamoja na wengine kupambana nA KORONA! Wanaotoa takwimu sahihi si wajinga na umuhimu wake unajulikana. Iweje tutumie za wenzetu alhali hatutaki zetu zitumiwe na wengine?
 
Mbona hata umenifutia na mm haya nimekaa kimya i nimeshasoma
 
Back
Top Bottom