Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Kabisaa kaka kuna watu wengne hum wanafiki sanaHii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaa kaka kuna watu wengne hum wanafiki sanaHii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Sana, wanaharibu mijadala ya maana kila mahali!Wapuuzi wataabishaji!
Daaaa nimecheka sanaMara paaap Mama anachukua kiti cha mfalme Daniel
Umeandika kiingereza kama cha jiwe
Linalozuia takwimu litakuwa lipumba-vuTAKWIMU BADO ZIMEGANDA.NI MARUFUKU KUZIONGEZA KWA GHARAMA YEYOTE! TUJIKINGE BINAFSI.
Unapenda sifa za kipumbavu, jitathmini, vifo vya watu sio kete ya kujitafutia umaarufu, mnashindana na kupigana vikumbo kuwa wa kwanza kuketa Tanzia jukwaani, tena mnaileta bashasha as if kuna timu ya mpira imeshinda goli sijui, this is ridiculous!Hii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Hv mkuu ww ni Mtanzania!?I feel sorry for my prime minister,it is now time for him to refrain from exposing to dangerous situations like that one,God have mercy for your servant
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni uchawi nyie watu, kwani zamani watu walikuwa hawafi??!, yaani sasa hivi asife hata mlinzi, tayari Tanzia inaletwa tena mnaileta kwa bashasha as if ni sifa kuleta habari za Tanzia, acheni hizo bhana
Huyu ndiye aliyepokea barua za misamaha ya wafungwa kisha akaruka barua ya Kabendera ili aendelee kuteseka lupango!Aende tu!
Ona huyu naniliuatakuwa karogwa, wafanyakazi wa PCCB wanarogwa sana
Walikuwa wanakufa wenye vyeo sawia na hivyo miaka yote ila huwezi kukuta Tanzania zikiketwa, ila sasa hivi hadi mbuzi tutaanza kuleta tanzia humuMkuu huyu ni mpelelezi mkuu wa TAKUKURU sio kijamba nani kama wewe. Wewe kufa uone kama kuna mtu ata mmoja atashughulika na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliza kijambio.Mkuu inabidi Chadema wakupe kitengo cha rambirambi
Rip mpelelezi mkuu!