TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

Huyu ndiye aliyepokea barua za misamaha ya wafungwa kisha akaruka barua ya Kabendera ili aendelee kuteseka lupango!Aende tu!
Unaona faida gani kudanganya Mkuu!? Msamaha wa wafungwa na mpelelezi wa PCCB wapi na wapi? Au hata majukumu ya PCCB huyajui? Mambo ya kuruka barua ya kabendera ili aendelee kuteseka lupango mbona ni ya kusadikika? Acheni kuchafua watu haisaidii kitu

Sent using kidole gumba
 
PM alikuwa kwao,jana ndio karudi.
Pole sana kwa wafiwa. Prime Minister achukue tahadhari maana kuna watu kadhaa amekutana nao karibuni na sasa wamefariki.

Kama ni siku zao zilifika basi haina shida ila kama ni COVID 19, apunguze kukutana na watu kama anavyofanya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa za watu kukutwa na mauti sasa zimekuwa kama jambo la kuzoeleka...

Haipiti wiki hujapata taarifa za ndugu, rafiki, jamaa au 'kibopa' fulani kufariki...
serious tunaelekea kuwa kama burundi
mwisho hata kuweka msiba tutakua hatuweki kweli hii Vita
 
Acheni uchawi nyie watu, kwani zamani watu walikuwa hawafi??!, yaani sasa hivi asife hata mlinzi, tayari Tanzia inaletwa tena mnaileta kwa bashasha as if ni sifa kuleta habari za Tanzia, acheni hizo bhana
Tuliza kijambio.
Dude limechachamaa.
 
Unaona faida gani kudanganya Mkuu!? Msamaha wa wafungwa na mpelelezi wa PCCB wapi na wapi? Au hata majukumu ya PCCB huyajui? Mambo ya kuruka barua ya kabendera ili aendelee kuteseka lupango mbona ni ya kusadikika? Acheni kuchafua watu haisaidii kitu

Sent using kidole gumba
Mtaje jina covid-19 imfahamu tafadhali
 
Unaona faida gani kudanganya Mkuu!? Msamaha wa wafungwa na mpelelezi wa PCCB wapi na wapi? Au hata majukumu ya PCCB huyajui? Mambo ya kuruka barua ya kabendera ili aendelee kuteseka lupango mbona ni ya kusadikika? Acheni kuchafua watu haisaidii kitu

Sent using kidole gumba
Mkuu tuna inside infoz kuwa alikuwemo kwenye timu ya kuhakiki barua za kuomba msamaha kwa wenye kesi za rushwa na uhujumu uchumi!Endelea kukaza shingo!
 
Mkuu tuna inside infoz kuwa alikuwemo kwenye timu ya kuhakiki barua za kuomba msamaha kwa wenye kesi za rushwa na uhujumu uchumi!Endelea kukaza shingo!
Mkuu Nina hakika taarifa ulizo nazo kuhusu huyo Minyenya sio sahihi! Nina fahamu kituo chake cha kazi kabla ya kupelekwa makao makuu na ninajua alihamishiwa makao makuu lini ndio maana nakwambia taarifa ulizo nazo sio sahihi kafuatilie vizuri kumuhusu huyo kiongozi!

Sent using kidole gumba
 
Back
Top Bottom