TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

Wakuu, huyu bwana alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020. Leo hii hatunaye baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.

Alale salama
View attachment 1442868
Kwahio unataka kusemaje kuhusu Barakoa??
 
Wakuu, huyu bwana alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020. Leo hii hatunaye baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.

Alale salama
View attachment 1442868
Duuuh hatariani, asee sasa huku chini kwa makapuku sie ndio kupoje? Sababu wakuu kule juu haipiti siku bila kukutana na katanzia,na hatujua nini chanzo.
 
Kwa ushahidi upi? Hakuna ayefurahia mwanadamu kufa. Ni hali ambayo CCM wameianzisha ya kutaka kuwaua wapinzani tanzania. Ya Lisu yanafurahisha? Akifa aliyetaka kumuua Lisu nitakunywa bia 1,000,000.. Vinginevyo mbona haya hayakuwepo wakati wa Kikwete?
 
Hii ngoma ishakuwa nzito sasa na mzee baba hapangiwi na mjengini ddm ndio hivyo tena hawapangiwi.

Tusubiri kikubwa wote tupo ndani ya meli moja wasifikiri tutaenda wenyewe tutasindikizana tu maana hii ni corona na sio kipindupindu inayo nyanyasa walala hoi peke yao.
 
Marehemu enzi ya uhai wake! AkiWeekend-nyungu
Screenshot_20200507-195215.png
 
Back
Top Bottom