Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio unataka kusemaje kuhusu Barakoa??Wakuu, huyu bwana alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020. Leo hii hatunaye baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama
View attachment 1442868
Wewe unawaza kupata misukosuko wenzako wanawaza kupangiwa post aliyoiacha.R.i.p . Aisee huu mwaka ukiisha bila ya kupata misukosuko basi shukuru Mungu sana.
Duuuh hatariani, asee sasa huku chini kwa makapuku sie ndio kupoje? Sababu wakuu kule juu haipiti siku bila kukutana na katanzia,na hatujua nini chanzo.Wakuu, huyu bwana alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020. Leo hii hatunaye baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama
View attachment 1442868
Sema unaondoka na watu wema tu waovu watesao bado wanadundaDa mwezi 3,4 na 5 katika huu mwaka umemeza watu sana.
Hamia Chato ni salama kwa afya yakokweli watu wanakatika wanazengo....mi nataka kuhama nchi sasa...
Kivipi mkuu Mshana..?Hii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]