TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

Ndio maana namuona Mkulu, hatoki chato,
Na hii covid ikifika october Haki ya nane!
Sijuhi kama atafanya kampeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndiye aliyepokea barua za misamaha ya wafungwa kisha akaruka barua ya Kabendera ili aendelee kuteseka lupango!Aende tu!
Sio yeye ni ile remote control iliyojificha kule mafichoni chattle ndiyo inawaburuza hawa watendaji . Si unaona yanayoendelea huko Bungeni. Spika ananata na beat ya mpiga ngoma wa chattle.
 
Nadhani kweli amemchanganya huyu Minyenya. Kama ametokea mikoani na hapo makao makuu ana muda mfupi sasa anahusikaje na kesi ya Kabendera?
 
Apumzike Kwa amani,
Hakika kila nafsi itaonja mauti, kila mmoja ataondoka Kwa wakati aliopangiwa na kwa sababu anayoijua Mungu pekee.
Hakuna anaye ijua kesho yake!
 
Hawa ndo wanakaaga na majalada ya watuhumiwa kwa miaka hata 10 ama sio? Wakiisaidia serikali kutesa watu wakibaki mahabusu kwa muda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…