johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu inabidi Chadema wakupe kitengo cha rambirambiWakuu, huyu bwana alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020. Leo hii hatunaye baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama
View attachment 1442868
Utope huoMungu wangu,Waziri mkuu asiwe ameambukizwa pia? Jamani tubakini home corona inaua
kwanini?Hii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Wewe sio bosi Mkuu? Jiandae
Na hivi hii ni week ya nyungu kwa wanaccm? Mtatumaliza aiseeAtakuwa karogwa, wafanyakazi wa PCCB wanarogwa sana
Wapuuzi haoHii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Kwanini anatangulizwa mbele kila siku? Au ndio kile kisa cha "Mke ww Uria" cha kwenye Bible??Pole sana kwa wafiwa. Prime Minister achukue tahadhari maana kuna watu kadhaa amekutana nao karibuni na sasa wamefariki.
Kama ni siku zao zilifika basi haina shida ila kama ni COVID 19, apunguze kukutana na watu kama anavyofanya sasa.
Why? Kwanini wanamuweka kwenye risk kubwa kiasi hicho!Mungu wangu,Waziri mkuu asiwe ameambukizwa pia? Jamani tubakini home corona inaua
why mkuuHii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]