Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Umesoma vizuri Tamko brother? Kwani Maaskofu hawana haki ya kulinda Rasilimali za Taifa hili.

Tunasubiri na Bakwata nao waunge mkono.

Bikira Maria ndiyo mlinzi wa Taifa letu.

Kanisa Moja Takatifu la mitume
Bikra Maria ndo nani acha hizo unatuharibia wakatoliki jina mlinzi wa taifa ni Wananchi na Mungu
 
Ila akina mwaipopo wao zile kauli hazikuingilia siasa?why iwe kwa TEC tu?au ndio mti wenye matunda ndio hupigwa mawe?.Kwanini mkataba hauna kikomo?muuze nchi tukae kimya kisa uislam!Tunajua vilaza ndio mtaji wenu.
 
Watu wa MUNGU wanapotendewa kwa Hila, udanganyifu na ulaghai lazima wenye uchaji na imani thabiti watoe unabii!
Ipo hivyo na itabaki hivyo!
Yesu alifanya hivyo!
Mohammed alifanya hivyo!
Manabii na mitume walifanya hivyo!
Wanyanganyi, walaghai na wezi lazima wakemewe!
Watu wa MUNGU lazima watetewe!
Go read the Holy Scriptures!
 
Kuenda Kate uko ata ungeenda kwenye kaburi alilozikwa Yesu ukalie kidogo hakukufanyi utuzidi kitu kwenye dini
Kikubwa imani
Tafakari kilichosemwa ujue kwanini kimesemwa alafu ujibu kwa hoja Acha kuweka hisia mbele
 
Hii ishu ya TEC sio sahihi... huu sasa ndo uhaini. Huu uchochezi unaofanywa na TEC lengo lake ni ovu. Nitaishangaa serikali kushindwa kuwadhibiti hawa wahuni. Hii itasababisha watu waliokuwa wakisema nchi yetu ina mfumo kristo kuthibitisha kauli yao. Kwa tulipofikia serikali inabidi iwadhibiti TEC ili kulinda heshima na hadhi yake.
 
Mkuu mtu akikurupuka na nyuzi zako lazima apotee.
Nimekuelewa saana mkuu
 
Hapo mwisho ndo umesema na ndo kauli yako na siyo hayo maswali

Ushaidi wako : Tuanze upya hata kama Ni DPW Tuanze upya tuondoe Yale yaliyo tukwamisha Sasa na tuweke maoni ya watu
Ahsante
 
Akina Paschal Mayala wanawaza uteuzi tu hoja hii wanaifukia.
 
ROMA LOCUTA;CAUSA FINITA EST!
 
Unataka mwenzio aende kwenye ushirikina,unampeleka gizani

Unajuwa maana ya ushirikina ?? Ni kuchukuwa mamlaka ya Mungu ukampa Kiumbe kilichoumbwa na Mungu

To a christian, God had to take human form to understand temptation and human suffering, but the concept is not based on any clear words of Jesus. In contrast, God does not need to be tempted and suffer in order to be able to understand and forgive man’s sins, for He is the all knowing Creator of man. This is expressed in the verse:


‘And the Lord said: ‘I have surely seen the affliction of My people that are in Egypt, and I have heard their cry because of their taskmasters; for I know their pains.’ (Exodus 3:7)


God forgave sin before Jesus’ appearance, and He continues to forgive without any assistance. When a believer sins, he may come before God in sincere repentance to receive forgiveness. Indeed, the offer to humble oneself before God and be saved is made to all humankind.


‘And there is no God else beside Me; a just God and a Savior; there is none beside Me. Look to Me, and be saved, all the ends of the earth; for I am God, and there is none else.’ (Isaiah 45:21-22, Jonah 3:5-10)


Biblically, people can receive forgiveness of sins through sincere repentance sought directly from God. This is true at all times and in all places. There has never been a need for the so-called inter cessionary role Jesus plays in attaining atonement. The facts speak for themselves. There is no truth to the Christian belief that Jesus died for our sins and salvation is only through Jesus. What about the salvation of people before Jesus? Jesus’ death brings neither atonement from sin, nor is it in any way a fulfillment of biblical prophecy.


Christians claim that in the birth of Jesus, there occurred the miracle of the incarnation of God in the form of a human being. To say that God became truly a human being invites a number of questions. Let us ask the following about the man-God Jesus. What happened to his foreskin after his circumcision (Luke 2:21)?


Did it ascend to heaven, or did it decompose as with any human piece of flesh? During his lifetime what happened to his hair, nails, and blood shed from wounds? Did the cells of his body die as in ordinary human beings? If his body did not function in a truly human way, he could not be truly human as well as truly God. Yet, if his body functioned exactly in a human way, this would nullify any claim to divinity. It would be impossible for any part of God, even if incarnate, to decompose in any way and still be considered God. The everlasting, one God, in whole or in part, does not die, disintegrate, or decompose: ‘For I the Lord do not change.’ (Malachi 3:6)


Did Jesus’ flesh dwell in safety after his death?


Unless Jesus’ body never underwent ‘decay’ during his lifetime he could not be God, but if it did not undergo ‘decay’ then he was not truly human.


Bible says that God is not man


‘God is not a man’ (Numbers 23:19)


‘For I am God, and not man’ (Hosea 11:9)


Jesus is called a man many times in the Bible


‘a man who has told you the truth’ (John 8:40)


‘Jesus the Nazarene, a man attested to you by God with miracles and wonders and signs which God performed through Him in your midst, just as you yourselves know.’ (Acts 2:22)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…