Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Baraza la maaskovu haliruhisiwi kutoa kauli (matako) ya kukemea au kuipinga uonevu,unyonyaji na ukandamizaji? Kanisa pia lina kazi ya kutetea haki za wananchi kwa kupaaza sauti linapoona haki zao zinakanyagwa na serikali.
Edit haraka, umeandika matusi.
 
Huyo ni mpumbavu anaetetea tumbo lake apate vikazi vya serikali,ogopa mtu anaevaa makoti oversize hawezi kua timamu
 
Kwa hiyo unataka kutuambia nini?
 
Roma Locuta, Causa Finita Est.
 
Kule DRC Maaskofu walichangia kwa kiasi kikubwa kuzusha ghasia dhidi ya Raisi Joseph Kabila na sasa pia hata huyu Tshisekedi wanampinga.

Drc ikiwaka moto wao wanakimbila Italy mziki wanawaachia Wananchi hohe hahe
 
Who the hell is TEC?
Paschal please give TEC the respect they deserve.
Kanisa Katoliki ni taasisi pekee ya dini yenye uwakilishi na hadhi ya ubalozi kamili hapa nchini.
Where do you get moral strenght to question TEC's statement in a very disrespectful manner ?
 
Utasema lugha zote..una laana wewe huji teuliwa hata ujumbe wa nyumba kumi...jipendekeze uwezavyo ...

Peleka njaa zako uko, ndio maana mke alikupiga chini bwege wewe.
 
Haijalishi wanachanganya ama la kikubwa hoja yao isikilizwe!! NB: Hata shujaa alidili san na siasa mpaka makanisani!! Acha upotoshaji!!!
 
Dini na siasa unazitenga vipi? Yohana mbatizaji alimkemea mtawala Herode kwa uovu wa kumuona mke wa kaka yake, Yohana kakatwa kichwa, SWALI: Yohana kukemea uovu ( Marko 6:18) alichanganya dini na siasa? Daniel alikataa amri haramu ya utawala wa Darius wa kuabudu sanamu ( Daniel 6:13)akatupwa kwenye shimo la Simba, je tiini mamlaka ni Kwa njia hii haramu? Kwa upande wa Waislamu, Mtume Muhammad alipigana vita vingi, 1. Vita vya Badr, 2. Uhud, 3. Khandak, 4. Hunayn, je, alichanganya dini na siasa? Kwa kifupi dini na siasa unazitenga vipi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu Huwa wanaleta shida sana pindi Kiongozi akiwa sio wa upande wao.
Haya maneno ulitakiwa kuyasema pia kumpinga Mtume Muhammad alipopigana vita vya Badr, Uhud, Khandak na Hunayn kama alikuwa akipinga utawala. Viongozi wa dini wanapokemea uovu/maovu, ni jukumu lao.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naona uteuzi maridhawa sasa kufuata
 
Ni kwa Taifa letu tu lililolaaniwa! Taifa ambalo Serikali yake haithamini michango au kusikiliza Watumishi wa Mungu wanapoikemea,kwa kigezo cha Usichanganye dini na siasa! Taifa ambalo serikali yake inataka kusifiwa tu na viongozi wa dini hata pale ambapo inafanya maovu,wizi,ubadhilifu wa mali ya umma,nk Taifa ambalo serikali haitaki kuonywa kwa yale maovu inayoyafanya!
 
A ver
A very good timing!!! Lazima utalamba uteuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…