Mpenzi alivyoliwa huku namsubiri

Yani kuna watu humu badala ya kumuonea mwenzenu huruma ndomnazidi kumpa machungu
 
Kuna Uzi zingine , ni Tabu .hiv mwanaume mzima unaweza Fanya kitendo kama hicho,,,,,,,,,,, et unamsindikiza dem akampe makavu x wake ,,, hahahahaha
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] , sina cha kuandika nimeishia kucheka tu,, HII CHAI MKUU
 
Na Bado ulimruhusu Apande gari yako kweli wewe Fala yaani umemsindikiza Kaliwa kisha ukabeba demu na Mishahawa ya jamaa ukapeka kwako, Aisee wewe chizi na ndo anakuambia kuwa katiwa sasa sijui wewe ulimwambia Pole huyo lazima akusumbue sana Coz anajua huna ujanja kwake sasa Subiri kushuhudia akitiwa chumbani kwako
 
Tata mwambie Huyo ,,,atakuwa mwanaume wa kusini siyo mara
 
Hahahaa kuku umemsindikiza mwenyewe machinjioni wamekula nyama yote.
 
Bwahahahahaaaaaa hahahaaaaaa hahahaaaa....daahhh jf mamaeee"" shukuru Mungu" lasivyo na wewe ungetiwa....hahhaaaaa hahhaaaaa ...daaahh umenivunja mbavu aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unapata nguvu gani ya kumsindikiza mpenzi wako kwa ex wake eti akampe makavu makavu yapi kuna wanaume wapole sijui kama mleta mada yaani hata sijui nimuweke kundi gani
sio upole" acha kufananisha upole " na mambo ya kijinga mkuu ..huyu ni zoba "" hahaa ati demu anamwambia kabisa yaani kuwa ametiwa"
 
hahahaaa
 
Hhhhhhhh alkua na genye tu huyo ww umeshindwa kumtoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…