Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huruma anapewa anaestahil,,,,,Yani kuna watu humu badala ya kumuonea mwenzenu huruma ndomnazidi kumpa machungu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] , sina cha kuandika nimeishia kucheka tu,, HII CHAI MKUUHii siku sitaisahau. Yani mpenzi wangu alikuwa anasumbuliwa sana na x wake eti warudiane. Hii ilimkasirisha sana mpenzi wangu na aliniomba aende akampe makavu x wake. Kwakweli nilimpenda na kumuamini sana huyu msichana kwa misimamo yake. Sasa ikabidi msichana amwambie anamfata na akaniomba nimpeleke. Kweli nilimsindikiza na kufika kwa Jamaa msichana alimuwakia sana. Kwamba hamtaki na amuache hivyo aendelee na maisha yake. Kwakweli ugamvi ulikuwa mkubwa mara wakaingia ndani. Walikaa mda kidogo mimi namsubiri kwenye gari. Baada ya kutoka anakuja huku analia nikamuuliza vipi umepigwa? Akaniambia hapana ila Jamaa kanitia sijui imekuaje paka kanitia tena. Kwakweli nimeumia na haya maumivu ni makuu. Hata sijui nifanyaje.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli wewe ni mpenzi msindikizaji..
Kwahyo yeye hastahili kuonewa huruma?mbona mkasa wake ni wakuumizaHuruma anapewa anaestahil,,,,,
Hastahili,HV uliwahi ona wap mwanamme unafanya jambo la kitoto namna hivyoKwahyo yeye hastahili kuonewa huruma?mbona mkasa wake ni wakuumiza
Tata mwambie Huyo ,,,atakuwa mwanaume wa kusini siyo maraNa Bado ulimruhusu Apande gari yako kweli wewe Fala yaani umemsindikiza Kaliwa kisha ukabeba demu na Mishahawa ya jamaa ukapeka kwako, Aisee wewe chizi na ndo anakuambia kuwa katiwa sasa sijui wewe ulimwambia Pole huyo lazima akusumbue sana Coz anajua huna ujanja kwake sasa Subiri kushuhudia akitiwa chumbani kwako
hahaaaa kaniacha hoi mnooHaiwezi mpoza hiyo.
Ila Swahiba dunia haijawahi kukosa vioja na viroja aiseeee.
sio upole" acha kufananisha upole " na mambo ya kijinga mkuu ..huyu ni zoba "" hahaa ati demu anamwambia kabisa yaani kuwa ametiwa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unapata nguvu gani ya kumsindikiza mpenzi wako kwa ex wake eti akampe makavu makavu yapi kuna wanaume wapole sijui kama mleta mada yaani hata sijui nimuweke kundi gani
kabisaaaaKitendo cha mtu kufunga safari kwenda kumchamba kidume aliyetangulia kuuona uchi wa mkeo, moja kwa moja mtu wa namna hiyo sifa ya uanaume inamtoka
hahhaa kupenda ndio kunakufanya uwe mjinga kiasi hicho ""?Unajua kupenda wewe!?
hahahaaaNa Bado ulimruhusu Apande gari yako kweli wewe Fala yaani umemsindikiza Kaliwa kisha ukabeba demu na Mishahawa ya jamaa ukapeka kwako, Aisee wewe chizi na ndo anakuambia kuwa katiwa sasa sijui wewe ulimwambia Pole huyo lazima akusumbue sana Coz anajua huna ujanja kwake sasa Subiri kushuhudia akitiwa chumbani kwako
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hastahili,HV uliwahi ona wap mwanamme unafanya jambo la kitoto namna hivyo
Hhhhhhhh alkua na genye tu huyo ww umeshindwa kumtoaHii siku sitaisahau. Yani mpenzi wangu alikuwa anasumbuliwa sana na x wake eti warudiane. Hii ilimkasirisha sana mpenzi wangu na aliniomba aende akampe makavu x wake. Kwakweli nilimpenda na kumuamini sana huyu msichana kwa misimamo yake. Sasa ikabidi msichana amwambie anamfata na akaniomba nimpeleke. Kweli nilimsindikiza na kufika kwa Jamaa msichana alimuwakia sana. Kwamba hamtaki na amuache hivyo aendelee na maisha yake. Kwakweli ugamvi ulikuwa mkubwa mara wakaingia ndani. Walikaa mda kidogo mimi namsubiri kwenye gari. Baada ya kutoka anakuja huku analia nikamuuliza vipi umepigwa? Akaniambia hapana ila Jamaa kanitia sijui imekuaje paka kanitia tena. Kwakweli nimeumia na haya maumivu ni makuu. Hata sijui nifanyaje.