Mpenzi alivyoliwa huku namsubiri

Mpenzi alivyoliwa huku namsubiri

Shenzi zako hata mtoto wa awali hawezi kukubali uongo wako kwendraa
Hii itakuwa kweli ilitokea.
This shit happens when you trust some one too much.

Jamaa alihisi anapendwa sana na demu ni decent kweli kweli.

But judging her in hindsight, it is clearer the bitch is not trustworthy. Huyo demu hajitambui kabisa.
 
Halafu yeye anasogea pembeni au anatoka nje ya geto lake anawaacha wapeane makavu

Jamaa akimaliza anatoka ndani anamwambia nipishe nipite wewe, yeye anampisha X sijui Y aondoke kisha mwenyewe anamkimbilia huyo demu wake chumbani na kumwambia "Pole mpenzi wangu jamaa kakuumiza eeh?" maanina vinatia hasira vitu vingine
Kabisaaaa au anaenda kwa Mangi kuwasubiria wapeane makavu. [emoji23] [emoji23]

Hahahaaaa. Nimecheka jamaani lol.
 
Maana angebakwa angepiga kelele kutaka msaada lakini yaonekana alikua anatoa ushirikiano wa viuno uliotukuka

Na hata alipokuja kwa jamaa hakusema kama kabakwa alimwambia katoka kutiwa

Dharau ya kiwango cha Stigilaz Goujje
Hahaaaaa. Na kwelli sababu ni tukio la kimya kimya ni dhahiri aliridhia huyo mwanamkw.

Ndio alivyosema [emoji85] na hiyo ni kuonyesha hana hofu nae. Au ndio alitaka huruma?
 
Kuna siku mpenzi wangu alikuwa ananiambia kwa hasira namna ex wake anavyomzushia mambo ya uongo..

Akasema atamfuata huko huko akamzingue ili ashike adabu yake..

Nilitafakari nikasema hapana. Ukienda huko lazima mkulane.

Nishawahi kuliwa na ex niliyemfuata kwa shari katika mazingira ya kutatanisha!

Hizi mambo zipo...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unapata nguvu gani ya kumsindikiza mpenzi wako kwa ex wake eti akampe makavu makavu yapi kuna wanaume wapole sijui kama mleta mada yaani hata sijui nimuweke kundi gani
Simlaum mleta mada ila nyie wanawake hamfai,
Kuna x wangu mmoja cku akiwashwa alkua akiletwa na jamaa yake na gari anasingizia anakuja kumsalimia rafki yake ambae tulikua tumepanga nyumba moja, na jaama ake alkua anapenda sana pombe akimleta anaingia anatoa salam huyoo anawah grosary jiran kula pombe sisi huku tunafanya yetu, siku cjui alkua anahis kaaga vizuri km kawaida mara ghafla karudi namuona yule anakuja na anatuona ila demu alkua hajamuona maana tulikua tunataniana mlango kwangu, nilimnasa kibao cha maana na mateke juu ile x anataka kuuliza nampigia nn jamaa keshafika kanisukuma hd chini kuuliza kulikoni nkasema namdai laki 6 yangu alkopa kipindi anakaa na rafiki ake hapa af kanikimbia leo ndio nmemkamata, nikaingia ndani nkatoka na sime, jamaa kuona vile akasema ngoja nkalete hy ela akataka kuondoka na dem kwenda atm nkagoma na mikwara kibao, jamaa kawasha gari kwenda atm na ilkua mbali kdg tukaingia ndani tukafanya yetu, kaleta laki 6 nkaweka mfukon.
 
Haijatulia hii Sesten.

Nawaza kwa sauti ungekuwa weye halafu ndio unaambiwa hiyo kitu ungefanyaje hapo?
Mungu Apitishe Hili Mbali Nami......Lakini Najiuliza Mwenyewe Hapa Hivi Mpenzi Wangu Aweza Nifanyia Hivi Kweli?

Maana Shida Inaanza Kwenye Kuchagua Nani Unakabidhi Moyo Awe Sweetie Wako

Ukikosea Hapo Ya Mleta Mada Yaweza Kukuhusu Hajar
 
Hahaaaaa. Na kwelli sababu ni tukio la kimya kimya ni dhahiri aliridhia huyo mwanamkw.

Ndio alivyosema [emoji85] na hiyo ni kuonyesha hana hofu nae. Au ndio alitaka huruma?
Angetaka huruma angesema angalau kwa kudanganya kua kabakwa lakini anajua jamaa pengine angeenda kuuliza akaambiwa mbona pichu kaivua mwenyewe
 
Hii siku sitaisahau. Yani mpenzi wangu alikuwa anasumbuliwa sana na x wake eti warudiane. Hii ilimkasirisha sana mpenzi wangu na aliniomba aende akampe makavu x wake. Kwakweli nilimpenda na kumuamini sana huyu msichana kwa misimamo yake. Sasa ikabidi msichana amwambie anamfata na akaniomba nimpeleke. Kweli nilimsindikiza na kufika kwa Jamaa msichana alimuwakia sana. Kwamba hamtaki na amuache hivyo aendelee na maisha yake. Kwakweli ugamvi ulikuwa mkubwa mara wakaingia ndani. Walikaa mda kidogo mimi namsubiri kwenye gari. Baada ya kutoka anakuja huku analia nikamuuliza vipi umepigwa? Akaniambia hapana ila Jamaa kanitia sijui imekuaje paka kanitia tena. Kwakweli nimeumia na haya maumivu ni makuu. Hata sijui nifanyaje.

Sasa shida yako nini papaa?
Unataka na wewe utiliwe na huyo eksi wenu?
 
Back
Top Bottom