mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
analiwa kirahisi rahisi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena ukweliKuna siku mpenzi wangu alikuwa ananiambia kwa hasira namna ex wake anavyomzushia mambo ya uongo..
Akasema atamfuata huko huko akamzingue ili ashike adabu yake..
Nilitafakari nikasema hapana. Ukienda huko lazima mkulane.
Nishawahi kuliwa na ex niliyemfuata kwa shari katika mazingira ya kutatanisha!
Hizi mambo zipo...
Kunavitu unavijua baada ya kufanyikaHongera kwa kuwa na Moyo wa kumwamini mbwa mwitu na swala wakakaa pamoja ukitegemea uwepo wa Amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wanagombanaWaliingia ndani kufanya nini? Dada alionyeshwa kabati limejaa noti za Dolari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi ni hatari kuliko sumuMapenz yatakuja kuwauweni vijana maumivu ujapigwa
KuyamalizaWaliingia ndani kufanya nini? Dada alionyeshwa kabati limejaa noti za Dolari
Sent using Jamii Forums mobile app