Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
🤣🤣🤣🤣🤣Kumekucha mnaanza kumpa mwenzenu jeuri, kafa kaoza kwa kidume
Hahaha hatumpi..ila.ajipambanue kama.anahis mpenzi anampenda kweli..kama anapendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Kumekucha mnaanza kumpa mwenzenu jeuri, kafa kaoza kwa kidume
Ofcoz ni jambo jema japo wadada huwa wanaumia sana kipindi wanaachwa japo maumivu kwa wanaume ndo huchelewa sana kuishaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi wala!mkavu!...utampata atakayeja hisia zako tu ..lazima utampata!jaman mm hapana!
Mimi inanipa stress sometimes nakuaje mwanamke nisiejali lakini. Ndio maana sipati bf maana sivumilii upuuzi. Ukinizingua nakunyoosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama kweli wewe ni Extrovert hahaaaaa...Sasa kumbe hata mchezo hujampa, unataka awe na shughuli na wewe ya kama nani? Paroko au baba wa kiroho?
Hahaaa...vipi kwani hujaelewa?Hizi lugha hizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa kumbe hata mchezo hujampa, unataka awe na shughuli na wewe ya kama nani? Paroko au baba wa kiroho?
Rudeness is the way siku hizi hahaaa...watu hawakopeshiHata mimi nikishamchoka mpenzi wangu huwa najikuta sina muda naye kabisa....na anavyolalamika ndivyo naona ananichefua...kwa hiyo umeshachokwa
Njoo PM utulizNimeshaachia ngazi mpenzi..!!
AiseeMwingine au wengine mkuu
am better here
Haa ha... mkuu yani wewe ukitafutwa ni kuombwa pesaa tuu na unatoa???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdada niliingia nae kwenye mahusiano mwezi uliopita, akaniambia katoka kutendwa siku si nyingi na mzazi mwenzie hivyo haitaji mahusiano tena, nikamwambia wacha nikushawishi utanielewa tu. Ilikuwa ni tabu, nisipomtafuta yeye hana time ya kunitafuta, nikimtafuta ananiomba na pesa bila hiyana namtumia. Nilipoona imekuwa tabu, nikafuta namba yake tu kwa amani nikamuelewa alichonambia mwanzoni.
Iko tofauti kidogo na stori yako ila Dhima ni ile ile. Hapo dada unapoteza muda.
Nilikuwa natoa braza ili nimuoneshe tu kuwa namuhitaji, ila nilipoona anazid hiyo kitu nikasema Inatosha.Haa ha... mkuu yani wewe ukitafutwa ni kuombwa pesaa tuu na unatoa???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Woooi..!!Yeah mbona kuna waliofanikiwa humu humu na sahivi wanalea majumbani mwao!
Tukishawala mnatuchosha sanaJamani..mda wote ukiangalia last seen inaonyesha SAA hiyo hiyo lakini anadai hashiki simu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh alikuvuna aisee...pole sanaaaNilikuwa natoa braza ili nimuoneshe tu kuwa namuhitaji, ila nilipoona anazid hiyo kitu nikasema Inatosha.
utabadilisha wangapi au ushakuwa jamvi la wageni!Mimi sinaga mda yani wa kumbembeleza mwanaume....hapana sina ukame huo
am better here
Pole na wewe Mkuu.