Mpenzi aliyenisaliti amerudi, nawaza nimfanye nini?

Mpenzi aliyenisaliti amerudi, nawaza nimfanye nini?

Maisha ya leo kuna too much darkness. Sasa mkuu unawaza kulipiza kisasi kwa ajili ya amani ya moyo unafikiri utaipata. Deep down wako waliofanya kama wewe lakini kwenye sakafu ya moyo huacha kidonda.
Mahusiano ya kimapenzi sio vita jameni. Kuna masomo ambayo huwa tunayapitia lakini yasiwe kikwazo au chachu ya sisi kuwa na roho mbaya au kuondoa complex ya upendo katika mioyo yetu.
Tatizo letu huwa tunaona mapenzi is everything lakini si kweli. Kuna mengi sana ya kuenjoy katika maisha haya. Binafsi sina ex ambae namchukia kwa sababu they were not sources of my happiness. It begins with you generate furaha ya maisha kutoka ndani yako then hakuna kitu utawahi shindwa. Cheer your life niggah!!!
 
Mkuu hao viunge wanajua kupindua shilingi muda wowote,, usiweke dhamana sana, Wewe shukuru umeachwa na hujafa..

Hicho unachoenda kufanya sasa hivi ndio unaenda kujichimbia kaburi, atakufanya kitu hujawai fanywa..

Utanishukuru baadae
hana cha kunifanya mbwa uyo, ila namuandalia pigo takatifu akasimulie vizazi vyake (sio kumdhuru kimwili)
 
Mimi kuna mmoja niligundua ananisaliti, nilikuwa namtumia pesa ya matumizi, kama sina nilikuwa namwambia achukue sehemu halafu nikipata tunalipa. Sasa nilivyogundua ujinga wake, alivyoniomba pesa nikamwambia kopa nitalipa, kweli akakopa, halafu nikaingia mitini. Alipiga simu, sms mpaka akachoka. Wakapelekana polisi, sijui alilipa vipi.
The legend 😂😂
 
Mkubwa hakuna haja ya kisasi, wanawake wanapenda attention hata akikuacha yeye sometimes anajisikia vibaya wewe ukikaa kimya. Wewe endelea kupiga kimya kumuonesha kwamba unaweza kuishi bila yeye na itazidi kumuuma. Jiulize kwanini sasa hivi anakuona wewe unafaa? Alikuwa anatingisha kiberiti au mambo yamekwenda kombo uko alikokwenda!
 
Achane shetani uyo kilicho mkimbiza nini na kilicho mleta nini .tabia haini halafu msaliti wa nini
 
huna haja ya kulipa kisasi pia sion haja ya kumfanyia visa haikupunguzii chchte kikubwa kula zaga then mpe taarifa kuwa unaoa atakusumbua tena
 
Mkuu

Mimi x wangu huwa namlipa kisasi kikali mno.

Baada ya kulia sana na maumivu ya kutosha huwa nasamehe.

Akinisalimia namjibu kama hajawahi kunitendea lolote, namuombea aishi miaka mingi ili aone nikimea tena baada ya maumivu aliyonipa kupona.

Kifupi nakuwa normal, na inanisaidia sana kuwa na amani moyoni.

Sasa ya nini upoteze muda wako kumlipa mtu, mambo mengine acha nature ifanye kazi yake, anayekufanyia ubaya ni kama anapanda mbegu ambayo ataivuna mwenyewe baadae.

Malizia maumivu yako uwe busy na maisha mengine, utalipa visasi kwa wangapi?
Tujifunze hapa
 
nenda kamwambie hutaki na aache mazoea ya kikuzi umwache solemba
 
Back
Top Bottom