Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Mpeleke buza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimpe Mimba ndugu ukimpa mtt atawakutanisha kwa lazma au kwa hiari au mwnmke atamtumia mtt kama ngao ya kuwa karib na ww. Apo mrudie kwa umakin muonyeshe upendo akiwa kilelen mwa upendo mpige chiniili naliwaza kwa asilimia 90%, ila target za kumtia mimba ndio kisanga maana, maana si unajua mwanamke kama ajaamua kuzaa ni hajaamua tu, otherwise mnipe technic ya kufanya ivyo wana bodi
mkuu hapa nimekuelewa vizuri kabisa yaaniUsi
Usimpe Mimba ndugu ukimpa mtt atawakutanisha kwa lazma au kwa hiari au mwnmke atamtumia mtt kama ngao ya kuwa karib na ww. Apo mrudie kwa umakin muonyeshe upendo akiwa kilelen mwa upendo mpige chini
NB:co kilelen Kwny ngono
Habari wana bodi,
Niende moja kwa moja kwenye maada tajwa hapo juu, ni miezi takribani 3 tangu aliyekuwa mpenzi wangu (x-girlfriend) aliponiacha kwa kunitamka kuwa "kuanzia leo mimi na wewe basi" alipo nitamkia sentence iyo tu tangu siku iyo hakuwai kuona sms wala calling yangu, nilifuta taarifa zake zote kwenye kitarakilishi changu (computer na simu) sikutaka kabisa kumsikia ila moyoni nilikuwa na maumivu yaliokuwa ykiwaka moto mzito,
Hatimaye amemtafuta mtu wangu wa karibu na kuomba kuonana na mimi ili tuongee, lakini main pont yake kuu ni kutafuta suluhu kwa kilicho tokea katikati yetu (usaliti alionifanyia), uyu binti aliniachia maumivu makali sana wana JF, nilimpenda na kumthamini sana kwa kila kitu ila aliamua kwenda.
Wakuu, huyu binti napanga siku ya kuonana nae nifanye nini (niongee nae nini, nimpangeje ili baadae nije kumpiga tukio zito), maana nahisi moyo wangu una hasira na chuki juu yake kama mbogo, ila sizionyeshi kwake waziwazi, nataka nimpitishe kwenye ziwa la miiba ili atakae kuja kumuoa uyu binti basi binti awe na adabu na heshima.
NINI NATAKA KUTOKA KWENU:
Hyu binti nataka nimuweke kwenye mazingira ambayo afurahi kuwa na mimi uku nikimuandalia tukio lake la surprise.
Natamani nipate experince kwenye issue ya X wako kurudi ulimpa adhabu gani kuu, ambayo atokuja kuisahau (sio kumdhuru kimwili noo).
Najua watakakuja watu hapa na kusema samehe na sahau, No ilo nalijua
Ziwa la miibaHabari wana bodi,
Niende moja kwa moja kwenye maada tajwa hapo juu, ni miezi takribani 3 tangu aliyekuwa mpenzi wangu (x-girlfriend) aliponiacha kwa kunitamka kuwa "kuanzia leo mimi na wewe basi" alipo nitamkia sentence iyo tu tangu siku iyo hakuwai kuona sms wala calling yangu, nilifuta taarifa zake zote kwenye kitarakilishi changu (computer na simu) sikutaka kabisa kumsikia ila moyoni nilikuwa na maumivu yaliokuwa ykiwaka moto mzito,
Hatimaye amemtafuta mtu wangu wa karibu na kuomba kuonana na mimi ili tuongee, lakini main pont yake kuu ni kutafuta suluhu kwa kilicho tokea katikati yetu (usaliti alionifanyia), uyu binti aliniachia maumivu makali sana wana JF, nilimpenda na kumthamini sana kwa kila kitu ila aliamua kwenda.
Wakuu, huyu binti napanga siku ya kuonana nae nifanye nini (niongee nae nini, nimpangeje ili baadae nije kumpiga tukio zito), maana nahisi moyo wangu una hasira na chuki juu yake kama mbogo, ila sizionyeshi kwake waziwazi, nataka nimpitishe kwenye ziwa la miiba ili atakae kuja kumuoa uyu binti basi binti awe na adabu na heshima.
NINI NATAKA KUTOKA KWENU:
Hyu binti nataka nimuweke kwenye mazingira ambayo afurahi kuwa na mimi uku nikimuandalia tukio lake la surprise.
Natamani nipate experince kwenye issue ya X wako kurudi ulimpa adhabu gani kuu, ambayo atokuja kuisahau (sio kumdhuru kimwili noo).
Najua watakakuja watu hapa na kusema samehe na sahau, No ilo nalijua
Mpeleke buz
duhkama uko serious ni pm contact zake nitamfundisha asirudie tena.