Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimesoma ndio maana na mimi natafuta adhabu yangu ya kumpa uyu mtu.Kwan hujasoma uzi wa koroe
mkuu, umeongea kiume sana mkuu, nachukua wazo lako kwa mikono miwili mkuu.Mpe mapenzi tu ili umchezee na wewe, huyo hana sifa za kuwa mother house tena. Huyo ni wa kupiga tu, wala asijue km hutamuoa. chezea ukichoka piga chini.
Kisha ampige chiniMpe mimba
asante mkuu, ili naliwaza kwa asilimia kubwaKama unataka kisasi basi kisiwe kikubwaaaa yani mfanye malaya tu inatosha
ili naliwaza kwa asilimia 90%, ila target za kumtia mimba ndio kisanga maana, maana si unajua mwanamke kama ajaamua kuzaa ni hajaamua tu, otherwise mnipe technic ya kufanya ivyo wana bodiKisha ampige chini
mkuu kwani kumtia mtu mimba ni lazma umuoe, wazo la kumtia uyu binti mimba ni awe na mtoto wangu tu, ila wazo kumuoa hapana kiukweli kabisa.Aaah,ukimtia mimba utakuwa unajikomoa mwisho wa siku utakuja kumuoa sasa ni kumpiga afu ukifika mda wa kuoa unaoa mwingine
sio mbaya kwangu, ila kumua big NOOUkimpa ujauzito hata usipomuoa mtaunganishwa na kuwa wazazi wa mtoto wenu.
Naomba unipe technic za kumpa ujauzito uyu binti, ayo mengine tutajua mbee ya safari ila sio kumuoaKumpa mimba kiukweli utakuwa hujamkomoa,yaani imagine anaweza akazaliwa mtoto afu ukimwangalia unasema sikupendi we mtoto nilikuwa namkomoa tu mama yako,kama ni kisasi hutakiwi kuacha kumbukumbu yako tena mtoto?yaani kati ya vitu vya kuepuka ni hivo
nipe njia mkuu, namlipuaje uyu bintiTafuta pesa wewe achana na mambo ya visasi...
Wewe hapo ulipo unajiona msafi sana?
Ni wangapi uliowakosea kwenye mambo mengine na yanayohitaji kisasi na wamekusamehe tu na kwenda zao?
Dunia inakuwa sio mahali salama pa kuishi kwa sababu ya watu wenye mioyo yenye chuki kama ninyi
Amerudi Ili akupige tukio lingine,Habari wana bodi,
Niende moja kwa moja kwenye maada tajwa hapo juu, ni miezi takribani 3 tangu aliyekuwa mpenzi wangu (x-girlfriend) aliponiacha kwa kunitamka kuwa "kuanzia leo mimi na wewe basi" alipo nitamkia sentence iyo tu tangu siku iyo hakuwai kuona sms wala calling yangu, nilifuta taarifa zake zote kwenye kitarakilishi changu (computer na simu) sikutaka kabisa kumsikia ila moyoni nilikuwa na maumivu yaliokuwa ykiwaka moto mzito,
Hatimaye amemtafuta mtu wangu wa karibu na kuomba kuonana na mimi ili tuongee, lakini main pont yake kuu ni kutafuta suluhu kwa kilicho tokea katikati yetu (usaliti alionifanyia), uyu binti aliniachia maumivu makali sana wana JF, nilimpenda na kumthamini sana kwa kila kitu ila aliamua kwenda.
Wakuu, huyu binti napanga siku ya kuonana nae nifanye nini (niongee nae nini, nimpangeje ili baadae nije kumpiga tukio zito), maana nahisi moyo wangu una hasira na chuki juu yake kama mbogo, ila sizionyeshi kwake waziwazi, nataka nimpitishe kwenye ziwa la miiba ili atakae kuja kumuoa uyu binti basi binti awe na adabu na heshima.
NINI NATAKA KUTOKA KWENU:
Hyu binti nataka nimuweke kwenye mazingira ambayo afurahi kuwa na mimi uku nikimuandalia tukio lake la surprise.
Natamani nipate experince kwenye issue ya X wako kurudi ulimpa adhabu gani kuu, ambayo atokuja kuisahau (sio kumdhuru kimwili noo).
Najua watakakuja watu hapa na kusema samehe na sahau, No ilo nalijua
Kwani ana tumia njia za kuzuia mimba?Naomba unipe technic za kumpa ujauzito uyu binti, ayo mengine tutajua mbee ya safari ila sio kumuoa
😀😁😂😃😄😅😆Achana nae mshenzy huo
😀😁😂😃😄😅😆Amerudi Ili akupige tukio lingine,
Shtuka bwana sadala
Mkuu kama hauna mipango nae fanya mishe nyingineHabari wana bodi,
Niende moja kwa moja kwenye maada tajwa hapo juu, ni miezi takribani 3 tangu aliyekuwa mpenzi wangu (x-girlfriend) aliponiacha kwa kunitamka kuwa "kuanzia leo mimi na wewe basi" alipo nitamkia sentence iyo tu tangu siku iyo hakuwai kuona sms wala calling yangu, nilifuta taarifa zake zote kwenye kitarakilishi changu (computer na simu) sikutaka kabisa kumsikia ila moyoni nilikuwa na maumivu yaliokuwa ykiwaka moto mzito,
Hatimaye amemtafuta mtu wangu wa karibu na kuomba kuonana na mimi ili tuongee, lakini main pont yake kuu ni kutafuta suluhu kwa kilicho tokea katikati yetu (usaliti alionifanyia), uyu binti aliniachia maumivu makali sana wana JF, nilimpenda na kumthamini sana kwa kila kitu ila aliamua kwenda.
Wakuu, huyu binti napanga siku ya kuonana nae nifanye nini (niongee nae nini, nimpangeje ili baadae nije kumpiga tukio zito), maana nahisi moyo wangu una hasira na chuki juu yake kama mbogo, ila sizionyeshi kwake waziwazi, nataka nimpitishe kwenye ziwa la miiba ili atakae kuja kumuoa uyu binti basi binti awe na adabu na heshima.
NINI NATAKA KUTOKA KWENU:
Hyu binti nataka nimuweke kwenye mazingira ambayo afurahi kuwa na mimi uku nikimuandalia tukio lake la surprise.
Natamani nipate experince kwenye issue ya X wako kurudi ulimpa adhabu gani kuu, ambayo atokuja kuisahau (sio kumdhuru kimwili noo).
Najua watakakuja watu hapa na kusema samehe na sahau, No ilo nalijua
Ukishampeleka Buza... Msogeze Mpaka maeneo ya kwa Mpalange. Hakikisha anaijua Buza vizuri.mpeleke Buza