Mpenzi aliyenisaliti amerudi, nawaza nimfanye nini?

Usi
ili naliwaza kwa asilimia 90%, ila target za kumtia mimba ndio kisanga maana, maana si unajua mwanamke kama ajaamua kuzaa ni hajaamua tu, otherwise mnipe technic ya kufanya ivyo wana bodi
Usimpe Mimba ndugu ukimpa mtt atawakutanisha kwa lazma au kwa hiari au mwnmke atamtumia mtt kama ngao ya kuwa karib na ww. Apo mrudie kwa umakin muonyeshe upendo akiwa kilelen mwa upendo mpige chini

NB:co kilelen Kwny ngono
 
Usi
Usimpe Mimba ndugu ukimpa mtt atawakutanisha kwa lazma au kwa hiari au mwnmke atamtumia mtt kama ngao ya kuwa karib na ww. Apo mrudie kwa umakin muonyeshe upendo akiwa kilelen mwa upendo mpige chini

NB:co kilelen Kwny ngono
mkuu hapa nimekuelewa vizuri kabisa yaani
 

Mkuu kuna msemo naomba nikukumbushe tu unaosema kuwa kama aliweza kukuacha mara ya kwanza nakuondoka kitu gani kitakuaminisha kua asiweze kukuacha mara ya pili kumbuka a real one wont leave
 
Ziwa la miiba
 
kama uko serious ni pm contact zake nitamfundisha asirudie tena.
 
Ni kama maelezo yako yananichanganya; BADO unampenda? Kama ndio then msameheme na muendelee mbele but kama moyoni mwako aliishatoka, unataka ukutane nae wa nini? Achana nae ili aje ampate atakae mpenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…