tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Sasa kule kucheka cheka yuko high mda wote!.... Yule itakuwa stress, maana Diddy malaya kuoa haoi anatotolesha tu mmama wa watu anaona anajizeekea tu home! Watoto wanaishi na babaake yy anaishi alone daah!
Hivi hakuwa hata na house girl? Mbona eti wamekuta nyumba tupu, yy kafa tu kitandani?
Is not an end,is the beggining of her new forever life...!!..Jamani what happened to Kim?!
Badoo[emoji12]Sie type ya diddy tunacomment wapi?nauliza tu
Ndio nasubiriaBadoo[emoji12]
Found dead zimekuwa fasheni now....sasa huyu mmama ana watoto kibao lkn anaishi peke yake! Nini maana ya kuzaa sasa si ili mtu usiwe mpweke?
Quincy?..... Yule anakaa kwake, ila hawa watoto mara nyingi wanashinda kwa Diddy...Kim alikuwa akiitwa kwenye matukio tuu!Si anamtoto wake wa kwanza shombeshombe au nae kahamia kwenye mansion ya diddy
Quincy?..... Yule anakaa kwake, ila hawa watoto mara nyingi wanashinda kwa Diddy...Kim alikuwa akiitwa kwenye matukio tuu!
Bora Cassie kajisepea kaona mbali
duh! Mungu awatie nguvuNdo mama ake mzazi .....
Watoto wa Diddy ni Justin, Christian,Chance na wale matwins ( Jessie na D'LilaNimekusoma best,kwahiyo watoto wa didy ni kingcombs na mapacha
Watoto wa Diddy ni Justin, Christian,Chance na wale matwins ( Jessie na D'Lila
Christian, na Chance kila mmoja ana mama ake, hawa watatu mama yao ndo Kim Porter( Justin or KingCombs, na mapacha)
Huyo Quincy ni wa Kim Porter babaake ni yule mbaba mwanamuziki anajiita Al B Sure!
Justin mtoto wa rapa Misa Hylton, mbona sio shombe huyo jamaa labda anavyojiweka[emoji28] [emoji28] ....mamaake kamix kwa mbali mnooQuincy baba yake enzi zake anakuwa hatari ila naona alishafulia kitambo,sasa hawa mashombe si wako wawili huyo mwingine wa nani
Nae anaundugu na diddyJustin mtoto wa rapa Misa Hylton, mbona sio shombe huyo jamaa labda anavyojiweka[emoji28] [emoji28] ....mamaake kamix kwa mbali mnoo
Sijakuelewa!....nimemaanisha huyo shombe mwingine uliyeniuliza anaitwa Justin Combs ni mtoto wake Diddy kazaaga na huyo MisaNae anaundugu na diddy
Sijakuelewa!....nimemaanisha huyo shombe mwingine uliyeniuliza anaitwa Justin Combs ni mtoto wake Diddy kazaaga na huyo Misa