tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Sie type ya diddy tunacomment wapi?nauliza tu
Sasa kule kucheka cheka yuko high mda wote!.... Yule itakuwa stress, maana Diddy malaya kuoa haoi anatotolesha tu mmama wa watu anaona anajizeekea tu home! Watoto wanaishi na babaake yy anaishi alone daah!
Hivi hakuwa hata na house girl? Mbona eti wamekuta nyumba tupu, yy kafa tu kitandani?