Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Diddy hataki stress ndio mana haoi ngozi nyeusi sisi tumeumbwa kumiliki hata 10 kama chapaa ipo,istoshe jamaa kwahela yake akioa then akadivorce lazima atalipa pesa ndefu sana kwa mtalaka
Wamama wasiokuwa hao....wanakula ujana!

Yaan diddy angemuoa Cassie maskini au masharti huyu jamaa? Hivi kwanini haoi?[emoji15] [emoji72]
 
Diddy ni senior bachelor ataowa akizeeka,mtu angeweza kumuoa ilikua jlo
Cha kushangaza sasa, wenzake wenye high profile in the industry kama Jigga, Will, wameoa na kutulizwa. Ingawa mshikeshike lakini hao na 'FULL' families zao.
Sa huyu jamaa labda haamini sana katika ndoa anaona kuwa na watoto tu poa.

Nakumbuka majuzi hapa wakati Will Smith anaongelea familia yake, aligusia kuhusu challenges walizopata na Jada kwenye ndoa, lakini akasema kutaka ku solve issues zao, of all options, divorce was not one of them. Hakutaka kabisa ndoa yake ivunjike.

Akasema ambavyo ameshakua divorced once, hakutaka kuwa divorced tena na kuanza moja. Sasa Diddy sijui hata ana wazo la ku settle..
 
Hahah!, yaani aoe uzeeni...😀
Lakini hawa Celebrities baadhi yao ndio zao hizi, wanakula ujana kwanza halafu kutulia baadae. And long as there's money, lazima wanapata mtu.
Hawa watoto wa Jada mie huwa naona kama kiki zinawasumbua eti..
Hivi Willow alishaonekana na mtu?!
Diddy at 90 ndo anaoa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...

Willow kanawakoboa wadadaz!...kamebobea kinoma
 
Jada lakini ananifurahisha sana relationship yake na Sheree Z. Utafikiri sio Ex wa mumewe.
Juzi ilikuwa Birthday ya Sheree Jada akam wish vizuri basi sio kusifiwa huko..

And you can tell it was genuine.
Ingawa mwanzo wanasema ilikuwa rough lakini juzi Jada aka confess kwa Sheree kuwa hakufanya vizuri kum date Will right after his divorce cos haikuwa sawa kwa hao wawili.
Lakini sasa wako poa wenyewe eti mpaka huwa wanaenda vacation pamoja, as a family.
Mmmh hata mi nashangaa[emoji15] [emoji15] ...hata kile kipindi cha RED TALK Sheree alikuwa guest wa Jada! Talk bout their past battles over Will[emoji23] [emoji23]

Nasikia zamani walikuwa na bifu la kufa mtu!...nahisi wameona waelewane coz Sheree ana mume so haina haja ya mnuno!
 
Diddy hataki stress ndio mana haoi ngozi nyeusi sisi tumeumbwa kumiliki hata 10 kama chapaa ipo,istoshe jamaa kwahela yake akioa then akadivorce lazima atalipa pesa ndefu sana kwa mtalaka
Unajua Tiger Woods ndo aliwafungua macho, maana yaliyompata na yule ex wife wake hana hamu, jamaa kapukutishwa kwenye ndoa yake hana kitu maskini!...zile hela za Diddy pia mama ake ni stakeholder wa Combs investments, so yule mama hatakagi mchezo na hela!
 
Woods alitafuta hela kwa jasho huku akikaza kiuno uwanjani,mke kaja kuchukua 50% kama zake
Unajua Tiger Woods ndo aliwafungua macho, maana yaliyompata na yule ex wife wake hana hamu, jamaa kapukutishwa kwenye ndoa yake hana kitu maskini!...zile hela za Diddy pia mama ake ni stakeholder wa Combs investments, so yule mama hatakagi mchezo na hela!
 
Lazima kichwa kipate moto,halafu hata kwenye tennis alijaribu kurudi ila stress zikamfanya asifanikishe
Si ndo hapo...halafu sababu ya kudivorce haina hata mashiko! Mswedish alikuja kuvuna asee!...jamaa siku hizi yuko under drugs and alcohol influence 24/7....kwa mtindo huu tumuache Diddy asioe!
 
Si ndo hapo...halafu sababu ya kudivorce haina hata mashiko! Mswedish alikuja kuvuna asee!...jamaa siku hizi yuko under drugs and alcohol influence 24/7....kwa mtindo huu tumuache Diddy asioe!
Though ile divorce ilimchanganya kiaina lkn Woods hayuko choka kihiivyo mkuu.

Kwenye Golf ranking ni wa 13 duniani,net worth anachezea kwny $740million.

Na ijumaa ya leo atacheza mechi na Phil Mickelson na mshindi atachukua $9mil.
 
Mmmh hata mi nashangaa[emoji15] [emoji15] ...hata kile kipindi cha RED TALK Sheree alikuwa guest wa Jada! Talk bout their past battles over Will[emoji23] [emoji23]
Nasikia zamani walikuwa na bifu la kufa mtu!...nahisi wameona waelewane coz Sheree ana mume so haina haja ya mnuno!


Heri yao lakini, hawana beef za kitoto..
 
Unajua Tiger Woods ndo aliwafungua macho, maana yaliyompata na yule ex wife wake hana hamu, jamaa kapukutishwa kwenye ndoa yake hana kitu maskini!...zile hela za Diddy pia mama ake ni stakeholder wa Combs investments, so yule mama hatakagi mchezo na hela!

Hivi Woods hakufanya Pre-nuptial agreement kabla ya kumchukua mazima yule Msweedish?!
Cos wenye hela ndefu vile wanaanzaga kuangalia Usalama wa pesa in case of anything.
Makubaliano kwanza muhimu, nani atapata nini kama ndoa inakufa..

Woods alitafuta hela kwa jasho huku akikaza kiuno uwanjani,mke kaja kuchukua 50% kama zake
 
Naona hakufanya hivyo mana mama alichukua nusu plus kila mwezi atoe matumizi ya familia,maisha ya diddy ni sawa kabisa anajua hilo kua zingemshusha kiuchumi.
Angalia russel simmmons nae mkewe alichukua nusu leo hii jamaa anaumwa ugonjwa wa moyo
Hivi Woods hakufanya Pre-nuptial agreement kabla ya kumchukua mazima yule Msweedish?!
Cos wenye hela ndefu vile wanaanzaga kuangalia Usalama wa pesa in case of anything.
Makubaliano kwanza muhimu, nani atapata nini kama ndoa inakufa..
 
Naona hakufanya hivyo mana mana akichukua nusu plus kila mwezi atoe matumizi ya familia,maisha ya diddy ni sawa kabisa anajua hilo kua zingemshusha kiuchumi.
Angalia russel simmmons nae mkewe alichukua nusu leo hii jamaa anaumwa ugonjwa wa moyo


Hivi Kimora nae aliondoka na nusu ya mali za Simmons?!, no wonder she's a Diva*2
Halafu ndo akaenda kuolewa na yule M West Africa..

Kwa ndoa za celebrities, pre-nuptials muhimu sana. Maana leo ipo, kesho haipo.
Naona hili la Wealth Settlement ndo linachelewesha pia divorce ya Brad Pitt na Angelina.
 
Aliondoka na mali na cash,ndio mana matajiri wenge wanaishi na watoto tu angalia hata trump
Hivi Kimora nae aliondoka na nusu ya mali za Simmons?!, no wonder she's a Diva*2
Halafu ndo akaenda kuolewa na yule M West Africa..

Kwa ndoa za celebrities, pre-nuptials muhimu sana. Maana leo ipo, kesho haipo.
Naona hili la Wealth Settlement ndo linachelewesha pia divorce ya Brad Pitt na Angelina.
 
Back
Top Bottom